Checking for repeated words (consecutive duplicates): 863 instances
vipande vipande (66)
[EXO 23:24] Haupaswi kuinamia miungu yao, kuabudu, au kufanya wanavyofanya. Badala yake, lazima uwapindue kabisa na kuvunja nguzo zao za mawe vipande vipande.
[LEV 8:20] Naye akamkatakata kondoo vipande vipande na akakiteketeza kichwa chake pamoja na vile vipande na mafuta.
[NUM 24:8] Mungu anamtoa Misri, na nguvu kama za nyati. Atawameza mataifa wanaopigana nao. Ataivunja mifupa yao katika vipande vipande. Atawapiga kwa mishale yake.
[JDG 5:26] Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kulia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
[JDG 15:8] Kisha akawakata vipande vipande, paja na mguu, kwa kuwauwa sana. Kisha akashuka chini akaishi katika pango katika mwamba wa Etamu.
[JDG 20:6] Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
[1SA 2:10] Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
[1SA 11:7] Akashika nira ya ng'ombe, akawakata hao ng'ombe vipande vipande, na akavituma hivyo vipande katika nchi yote ya Israeli kwa kuwatumia wajumbe, akasema, “Yeyote asiyejitokeza akimfuata Sauli na Samweli, hivi ndivyo ng'ombe wake watakavyofanywa.” Na hofu ya BWANA ikawaingia watu, na wakajitokeza wote kwa pamoja.
[1SA 15:33] Naye Samweli akamjibu, “Jinsi upanga wako ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto miongoni mwa wanawake.” Kisha Samweli akamkata Agagi vipande vipande mbele za BWANA huko Gilgali.
[1KI 13:5] Na ile madhabahu ikavunjika vipande vipande, na yale majivu yakamwagika kutoka madhabahuni, kama ilivyokuwa imefafanuliwa kuwa ndiyo ishara ya kwamba mtu wa Mungu alikuwa amepewa kwa neno la BWANA.
[1KI 13:26] Yule nabii aliyemrudisha toka njiani aliposikia, akasema, “Yeye mtu wa Mungu ndiye aliyeshindwa kutii neno la BWANA. Kwa hiyo BWANA alimtoa kwa simba, ambaye amemrarua katika vipande vipande na kumwua, kama vile neno la BWANA lilivyokuwa limemwonya.”
[1KI 18:33] Kisha akaweka kuni kwa ajili ya moto na akamkatakata yule ng'ombe katika vipande vipande na akaweka vile vipande juu ya kuni. Na akasema, “Vijazeni maji hivyo vyombo na yamwageni kwenye hiyo sadaka ya kueketezwa na juu ya hizo kuni.”
[1KI 19:11] BWANA akamwambia, “Nenda nje ukasimame kwenye mlima mbele yangu.” Kisha BWANA akapita, na upepo mkali ukaupiga mlima ukavunja miamba katika vipande vipande mbele ya BWANA, lakini BWANA hakuwemo kwenye huo mlima. Kisha baada ya upepo, tetemeko likaja, lakini BWANA hakuwemo kwenye hilo tetemeko.
[2KI 8:12] Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
[2KI 11:18] Basi watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. Wakaangusha madhabahu ya Baali na sanamu zake wakazivunja vipande vipande, na kumuua Matani, mfalme wa Baali, mbele ya haya madhabahu. Kisha Yehoyada kuhani akawachagua walinzi juu ya hekalu la BWANA.
[2KI 18:4] Alipaondoa mahali pa juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ambayo Musa aliyokuwa ameifanya, kwa sababu siku zile wana wa Israeli walikuwa wakichoma ubani katika hiyo; ilikuwa inaitwa “Nehushtani.”
[2KI 23:12] Yosia mfalme akayaharibu madhabahu yaliyokuwa kwenye dari ya juu ya chumba cha Ahazi, ambacho wafalme wa Yuda walikitengeneza, na madhabahu ambayo Manase aliyatengeneza kwenye behewa mbili za nyumba ya BWANA. Yosia akazivunga vipande vipande na kuvitupa kwenye bonde la Kidroni.
[2KI 23:14] Akazivunja nguzo za jiwe kuwa vipande vipande na kuziangusha chini nguzo za Ashera na kuzijaza zile sehemu kwa mifupa ya watu.
[2KI 24:13] Nebukadreza akachukua kutoka pale vitu vyote vya thamani katika nyumba ya BWANA, na walio katika nyumba ya kifalme. Akavikata vipande vipande vitu vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alivitengeneza katika hekalu la BWANA, kama alivyokuwa amesema ingetokea.
[2KI 25:13] Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
[2CH 23:17] Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. Wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
[2CH 28:24] Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
[2CH 31:1] Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benjamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
[JOB 16:12] Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
[JOB 16:13] Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
[JOB 34:24] Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
[PSA 2:9] Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
[PSA 29:5] Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
[PSA 46:9] Anasitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
[PSA 72:4] Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
[ISA 8:9] Nyie watu mtavunjika vipande vipande, Sikilizeni, nyote muishio nchi zilizo mbali; jiandaeni wenyewe na mtavunyika vipande vipande.
[ISA 8:9] Nyie watu mtavunjika vipande vipande, Sikilizeni, nyote muishio nchi zilizo mbali; jiandaeni wenyewe na mtavunyika vipande vipande.
[ISA 27:9] Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuondolewa dhambi zake: pale atakapofanya madhabahu ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhabahu itakayoachwa imesimama.
[EZK 23:34] Utakinywea na kubakia kitupu; kisha utakivunja vunja na kuyararua maziwa yako kuwa vipande vipande. Kwa kuwa nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.’
[EZK 32:28] Basi wewe, Misri, utavunjika kati yao wasiotahiriwa! Utalala karibu nao waliokuwa wamekatwa vipande vipande kwa upanga.
[EZK 32:30] Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
[EZK 32:30] Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
[EZK 32:31] Farao ataona na kupata faraja kuhusu kundi lake waliokatwa vipande vipande kwa upanga -Farao na jeshi lake lote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
[DAN 2:5] Mfalme akawajibu watu wenye hekima, “Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu.
[DAN 2:35] Kisha chuma, udongo, fedha, na dhahabu zilivunjwa katika vipande vipande kwa wakati mmoja na yakawa kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi. Upepo ukavipeperushia mbali na hakuna alama inayoachwa. Lakini jiwe lililoipiga sanammu likawa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
[DAN 2:40] Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kupondaponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.
[DAN 2:44] Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele.
[DAN 2:45] Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunjavunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.
[DAN 6:24] Mfalme alitoa agizo, waletwe wale watu waliomshitaki Danieli na kisha akawatupa wao katika tundu la simba - wao, na watoto wao, na wake zao. Kabla hawajafika sakafuni, simba waliwararua na kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande.
[DAN 7:19] Ndipo nilipotaka kujua zaidi juu ya mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti sana na wengine na alikuwa wa kutisha pamoja na meno yake ya chuma na makucha ya shaba; alimeza, na alivunja vipande vipande, na alisagasaga kwa miguu yake kile kilichokuwa kimesalia.
[DAN 7:23] Hiki ndicho mtu yule alichokisema, ‘Kwa habari ya mnyama wanne, utakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia ambao utakuwa tofauti na falme zingine zote. Utaimeza dunia yote, na utaikanyaga yote chini na kuivunjavunja vipande vipande.
[HOS 6:1] “Njooni, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
[HOS 6:5] Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
[HOS 8:6] Kwa maana sanamu hii ilitoka Israeli; fundi aliifanya; si Mungu! Ndama ya Samaria itavunjwa vipande vipande.
[HOS 10:14] Kwa hiyo mlipuko wa vita utafufuka kati ya watu wako, na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa. Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita, wakati mama alivunjika vipande vipande na watoto wake.
[HOS 13:8] Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
[AMO 6:11] Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
[AMO 9:1] Nikamwona Bwana amesimama karibu na madhabahu, akasema, “Vipige vichwa vya nguzo ili kwamba misingi itikisike. Vivunje vipande vipande juu ya vichwa vyao vyote, nami nitawaua wa mwisho wao kwa upanga. Hakuna mmoja wao atakaye kimbiawala atakayeokoka.
[MIC 1:4] Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
[MIC 1:7] Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
[MIC 3:3] ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
[MIC 5:8] Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. Wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
[NAM 2:12] Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, tundu lake kwa mizoga iliyoraruliwa.
[NAM 3:10] Lakini No-amoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima, na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
[MAT 7:6] Usiwape mbwa kilicho kitakatifu, na usiwarushie nguruwe lulu mbele yao. Vinginevyo wataviharibu na kuvikanyaga kwa miguu, na tena watakugeukia wewe na kukurarua vipande vipande.
[MAT 15:37] Watu wote wakala na kutosheka. Na wakakusanya mabaki ya vipande vya chakula vilivyosalia vipande vipande, vilijaa vikapu saba.
[LUK 12:46] bwana wake yule mtumwa atakuja katika siku asiyotegemea na saa asiyoijua, naye atamkata vipande vipande na kumuweka katika sehemu pamoja na wasiokuwawaaminifu.
[LUK 20:18] Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda.’”
[ACT 23:10] Wakati kulitokea hoja kubwa, mkuu wa majeshi aliogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipande vipande na wao, hivyo akaamuru wanajeshi washuke chini na kumchukua kwa nguvu kutoka kwa wajumbe wa baraza, na kumleta katika ngome.
[REV 2:27] ‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, kama mabakuli ya udongo, atawavunja vipande vipande.’
vile vile (38)
[GEN 37:10] Akamwambia baba yake vile vile alivyowambia ndugu zake, na baba yake akamkemea. Akamwambia, “Je umeota ndoto ya namna gani hii? Je mama yako na mimi na ndugu zako kweli tutakuja kukuinamia mpaka chini?”
[EXO 28:8] Na mshipi wa kazi ya ustadi ulio juu yake, ili kuifunga mahali pake; utakuwa wa kazi kama ile ya naivera, ya vitu vile vile vya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawati, na ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa.
[LEV 4:10] Ataondoa zote vile vile kama yanavyoondolewa katika dume wa sadaka ya dhabihu ya amani. Kuhani atatekeza sehemu hizo katika madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
[LEV 10:19] Kisha Haruni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahwe, na jambo hili vile vile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahwe?”
[JOS 19:6] Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
[JOS 19:43]Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
[2CH 8:9]Vile vile, Sulemani hakuwafanyisha kazi kwa nguvu watu wa Israeli. Badala yake, wakawa wanajeshi wake, maakida wake, wakuu wake, na maakida wa magari ya majeshi yake na wapanda farasi wake.
[2CH 12:8]Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
[2CH 14:15] Jeshi pia likaipiga hema ya makazi ya wachungaji; wakabeba kondoo kwa wingi, ngamia vile vile, na kisha wakarudi Yerusalemu.
[2CH 15:17] Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
[2CH 19:8]Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
[2CH 20:33]Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
[2CH 21:7]Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
[2CH 23:2] Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
[2CH 27:4]Vile vile alijenga miji katika kilima cha Yuda, na katika msitu alijenga ngome na minara.
[2CH 29:30]Vile vile, Hezekia, mfalme, na viongozi wakawaamuru Walawi kuimba ili kumsifu Yahwe kwa maneno ya Daudi na ya Asafu, mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainama chini wakasujudu.
[2CH 35:12] Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, ili kuzisambaza katika makundi ya nyumba za mababa wa watu, ili wamtolee Yahwe, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Musa. Wakafanya vile vile kwa wale ng'ombe dume.
[NEH 6:4] Walituma ujumbe huo huo mara nne, na mimi niliwajibu vile vile kila wakati.
[PSA 115:8] Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
[JER 12:16] Kisha itakuwa ikiwa mataifa hayo yatajifunza kwa makini njia za watu wangu, kuapa kwa jina langu ‘Kama Bwana aishivyo!’ vile vile kama walivyofundishwa watu wangu kuapa kwa Baali, basi watajengwa katikati ya watu wangu.
[JER 28:7]Vile vile, sikilizeni neno ambalo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.
[EZK 40:28] Kisha huyo mtu akanileta hata ua wa ndani karibu na lango lake la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo vile vile kama malango mengine.
[MAT 19:12] Kwa vile wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama zao. Na vile vile kuna matowashi waliofanywa na watu. Na kuna matowashi waliojifanya matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kupokea mafundisho haya na ayapokee.”
[MAT 21:24] Yesu akajibu na kuwaambia, “Nami tena nitawauliza swali moja. Kama mkiniambia, nami vile vile nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
[MAT 21:36] Kwa mara nyingine, mmiliki aliwatuma watumishi wengine, wengi zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakulima wa mizabibu waliwatendea vile vile.
[MAT 25:17]Vile vile yule aliyepokea talanta mbili, alizalisha zingine mbili.
[JHN 7:3] Ndipo ndugu zake walipomwambia, “Ondoka mahali hapa uende Uyahudi, ili kwamba wanafunzi wako vile vile wayaone matendo ufanyayo.
[JHN 8:38] Ninasema mambo ambayo nimeyaona pamoja na Baba yangu, na ninyi vile vile mnafanya mambo ambayo mliyasikia kutoka kwa baba yenu.”
[JHN 11:52] na si kwa taifa peke yake, bali Yesu apate vile vile kuwakusanya watoto wa Mungu ambao wametawanyika sehemu mbali mbali.
[1CO 7:3] Mume anapaswa kumpa mke haki yake ya ndoa, na vile vile mke naye kwa mmewe.
[1CO 7:4] Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe. Na vile vile, mume hana mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
[1CO 11:12] Maana kama vile mwanamke alitoka kwa mwanamume, vile vile mwanamume alitoka kwa mwanamke. Na vitu vyote hutoka kwa Mungu.
[2CO 1:5] Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
[2CO 1:7] Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
[HEB 2:14] Kwa hiyo, kwa kuwa watoto wa Mungu wote hushiriki mwili na damu, kadhalika Yesu alishiriki vitu vile vile, ili kwamba kupitia kifo apate kumdhohofisha yule ambaye ana mamlaka juu ya mauti, ambaye ni Ibilisi.
[1PE 5:1] Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, mimi, niliye mzee mwenzao na shahidi wa mateso ya Kristo, na ambaye vile vile ni mshirika katika utukufu utakaodhihirika.
[1JN 4:11] Wapendwa, ikiwa Mungu alitupenda sisi, vile vile tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.
[JUD 1:7]Vile vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele.
hiyo hiyo (30)
[EXO 12:41] Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
[LEV 19:6] Ni sharti iliwe siku hiyo hiyo uliyoitoa, au siku inayofuata.
[NUM 9:6] Kulikuwa na watu fulani walionajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Hawakuweza kuishika Pasaka siku hiyo. Kwa hiyo walikwenda kwa Musa na Haruni siku hiyo hiyo.
[NUM 15:15] Kutakuwa na sheria hiyo hiyo kwa watu wote na kwa mgeni anayeishi kati yenu, sheria ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Ninyi mlivyo, ndivyo atakavyokuwa mgeni aliyeishi kati yenu. Atafanya kama mnavyofanya mbele ya BWANA.
[NUM 15:16] Sheria na amri hiyo hiyo ndiyo itakayotumika kwa mgeni anayeishi kati yenu.”
[NUM 15:29] Mtakuwa na sheria hiyo hiyo kwa mtu yeyote anayefanya dhambi hiyo pasipo kukusudia, sheria hiyohiyo hata kwa mzawa wa Israeli na kwa wageni wanaoishi kati yao.
[NUM 30:8] Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatilisha hicho kiapo alichokifanya, kwa maneno yake ya midomo yake bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamsamehe.
[DEU 27:11] Musa aliwaamuru watu siku hiyo hiyo na kusema,
[DEU 31:22] Kwa hiyo Musa aliandika huu wimbo siku hiyo hiyo na kuwafundisha watu wa Israeli.
[DEU 32:48] Yahwe alizungumza na Musa katika siku hiyo hiyo na kusema,
[JOS 5:11] Na siku iliyofuata baada ya Pasaka, walikula sehemu ya mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka iliyokaangwa katika siku hiyo hiyo.
[JOS 10:35] na siku hiyo hiyo wakaiteka. Waliupiga kwa upanga na waliteketeza kila mtu ndani yake kama vile Yoshua alivyofanya huko Lakishi.
[JOS 11:15] Kama vile Yahweh alivyomwagiza mtumishi wake Musa, na kwa namna hiyo hiyo, Musa alivyomwagiza Yoshua. Na katika mambo yote ambayo Yahweh alimwamuru Musa kuyafanya, Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja.
[1KI 7:8] Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
[ISA 37:34] Njia atakayojia itakuwa njia hiyo hiyo atakayorudia; ataingia katika mji huu. Hili ni Tamko ya Yahwe.
[ISA 66:4] Katika njia hiyo hiyo nitachagua adhabu yao wenyewe; Nitaleta juu yao kitu wanachokiogopa, maana nilipowaita, hakuna aliyeitika; nilipozungumza hakuna aliyenisikiliza mimi. Walifanya yaliyo maovu mbele yangu, na kuchagua yasiyo nipendeza mimi.”
[EZK 23:38] Kisha waliendelea kufanya hivi kwa ajili yangu: Wamepafanya patakatifu pangu unajisi, na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu.
[EZK 23:39] Kwa kuwa walipokuwa wamewachinjia watoto wao kwa ajili ya sanamu zao, kisha wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi! Hivyo tazama! Hivi ndivyo walivyofanya kati ya nyumba yangu.
[EZK 40:1] Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya mji kuchukuliwa-katika siku hiyo hiyo, mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu na alinichukua huko.
[EZK 44:3] Mtawala wa Israeli atakaa katika hilo kula chakula mbele ya Yahwe. Ataingia kwa njia ya varanda na kutoka kwa njia hiyo hiyo.”
[EZK 46:8] Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
[HOS 3:3] Nilimwambia, “Lazima uishi pamoja nami siku nyingi. Huwezi kuwa kahaba au kuwa na mtu mwingine yeyote. Kwa njia hiyo hiyo, nitakuwa pamoja nanyi.”
[LUK 23:40] Lakini yule mwingine akajibu, akimkemea na akisema, “Je wewe humuogopi Mungu, nawe uko katika hukumu hiyo hiyo?
[LUK 24:13] Na tazama, wawili miongoni mwao walikuwa wakienda siku hiyo hiyo katika kijiji kimoja kiitwacho Emmau, ambacho kilikuwa maili sitini kutoka Yerusalemu.
[LUK 24:33] Wakanyanyuka saa hiyo hiyo, na kurudi Yerusalemu. Wakawakuta wale kumi na mmoja wamekusanyika pamoja, na wale waliokuwa pamoja nao,
[ACT 12:23] Mara hiyo hiyo malaika akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa.
[ACT 24:14] Ila nakiri hili kwako, ya kwamba kwa njia ile ambayo wanaiita dhehebu, kwa njia hiyo hiyo ninamtumikia Mungu wa baba zetu. Mimi ni mwaminifu kwa yote yaliyoko kwenye sheria na maandiko ya manabii.
[COL 1:6] ambayo imekuja kwenu. Na kwa njia hiyo hiyo, Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni koteImekuwa ikifanya hivi ndani yenu tangu siku mlipoisikia na kufahamu neema ya Mungu katika kweli.
[1PE 3:7] Kwa njia hiyo hiyo, ninyi wanaume mnapaswa kuishi na wake zenu mkijua kuwa wao ni wenzi wa kike dhaifu, mkiwatambua wao kama wapokeaji wenzenu wa zawadi ya uzima. Fanyeni hivi ili kwamba maombi yenu yasizuiliwe.
[REV 2:15] Katika hali hiyo hiyo, unao baadhi yao wanaoshika mafundisho ya Wanikolai.
huo huo (29)
[GEN 26:24] Yahwe akamtokea usiku huo huo na akasema, “Mimi ni Mungu wa Ibrahimu baba yako. Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe na nitakubariki na kuzidisha vizazi vyako, kwa ajili ya mtumishi wangu Ibrahimu.”
[GEN 40:5] Wote wakaota ndoto - mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wamefungwa gerezani - kila mmoja akaota ndoto usiku huo huo, na kila ndoto ilikuwa na tafsiri yake.
[EXO 17:12] Mikono ya Musa yalipokuwa mizito, Haruni na Huri walichukua jiwe na kuweka chini yake alikalie. Muda huo huo, Haruni na Huri walinyanyua mikono yake juu, mtu mmoja upande mmoja, na mtu mmoja upande mwingine. Hivyo mikono ya Musa ilishikiliwa tuli mpaka jua lilipozama.
[DEU 14:28] Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
[JDG 7:9] Usiku huo huo Bwana akamwambia, “Simama! Kavamie kambi, kwa maana nitakupa ushindi juu yake.
[1SA 2:21] BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
[2CH 16:10] hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
[2CH 27:5] Pia alipigana na mfalme wa watu wa Amoni na akawashinda. Katika mwaka huo huo, watu wa Amoni walimpa talanta mia moja za fedha, kori elfu kumi za ngano, kori elfu kumi za shayiri. Watu wa Amoni wakampa hivyo hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu.
[NEH 6:4] Walituma ujumbe huo huo mara nne, na mimi niliwajibu vile vile kila wakati.
[NEH 9:1] Siku ya ishirini na nne ya mwezi huo huo watu wa Israeli walikusanyika, nao walikuwa wamefunga, nao walikuwa wamevaa magunia, nao wakaweka vumbi juu ya vichwa vyao.
[EST 8:9] Kisha waandishi wa mfalme wakakusanyika kwa wakati huo huo katika mwezi wa tatu, ambao ni mwezi wa Sivani, siku ya ishirini ya mwezi wa tatu. Mbiu iliandikwa yote ambayo Modekai aliyaamuru kwa Wayahudi watendewe na wenyeji wa kila jimbo. Mbiu iliandikwa kwa maakida, magavana na wakuu wa majimbo yote yaliyokuwa, toka India hadi Ethiopia, majimbo 127 kila jimbo iliandikwa kuwa maandishi yake, na kila watu kwa lugha yao, na kwa Wayahudi kwa maandishi na lugha yao.
[PSA 104:23] Wakati huo huo, watu hutoka nje kuelekea kazi zao na utumishi wake mpaka jioni.
[JER 26:20] Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la Yahweh—Uria mwana wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimu—pia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
[DAN 3:6] Na yeyote asiyeanguka na kuiabudu, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto.”
[DAN 5:5] Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa chokaa katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
[MAT 9:22] Yesu akageuka na kumtazama na kumwambia. “Binti, jipe moyo, imani yako imekufanya upone.” Na muda huo huo mwanamke akapata uponyaji.
[MAT 18:1] Muda huo huo wanafunzi wakaja kwa Yesu na kumwambia, “Ni nani aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni?”
[MRK 1:23] Wakati huo huo kulikuwa na mtu katika sinagogi lao aliyekuwa na roho mchafu, na alipiga kelele,
[LUK 3:22] Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
[LUK 5:25] Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akarudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
[LUK 13:1] Wakati huo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
[JHN 4:27] Wakati huo huo wanafunzi wake wakarudi. Nao walishangaa kwa nini alikuwa akizungumza na mwanamke, lakini hakuna aliyethubutu kumuuliza, “Unataka nini?” au “Kwa nini unazungumza naye?”
[ACT 9:20] Wakati huo huo akamtangaza Yesu katika masinagogi, akisema kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
[ACT 22:29] Basi wale waliokuwa tayari kwenda kumhoji wakaondoka na kumwacha wakati huo huo. Na jemedari naye akaogopa, alipojua kuwa Paulo ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.
[ACT 24:26] Muda huo huo, alitegemea kwamba Paulo atampa fedha kwa hiyo alimwita mara nyingi akaongea naye.
[ACT 27:40] Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za nanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
[2TI 2:4] Hakuna askari atumikae wakati huo huo akijihusisha na shughuli za kawaida za maisha haya, ili kwamba ampendeze ofisa wake mkuu.
[PHM 1:22] Wakati huo huo, andaa chumba cha wageni kwa ajili yangu, kwa kuwa ninatumaini kupitia maombi yako nitarudishwa kwenu.
[JAS 1:10] wakati huo huo ndugu aliye tajiri awe na unyenyekevu wake, kwa sababu atatoweka kama ua la kondeni katika shamba.
sawa sawa (27)
[EXO 31:11] Pia mafuta ya kutiwa, na uvumba wa manukato mazuri, kwa ajili ya mahali patakatifu; sawa sawa na yote niliyokuagiza ndivyo watakavyofanya wao.
[EXO 38:18] Nacho kisitiri cha lango la ua kilikuwa na mikono ishirini urefu. Cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kocho laini na kitani bora kilichosokotwa, na urefu wake ulikuwa mikono ishirini, nacho kimo kotekote kilikuwa mikono mitano sawa sawa na mapazia ya ua.
[LEV 27:27] Na kama ni mnyama aliye najisi, kisha mmiliki wake anaweza kumnunua tena sawa sawa na thamani yake, na sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo. Na kama mnyama hakombolewi, naye atauzwa kwa thamani iliyowekwa.
[JOS 4:8] Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
[JOS 4:10] Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
[JOS 10:28] Na kwa namna hii, katika siku hiyo Yoshua aliuteka mji wa Makeda na aliwaua watu wote huko kwa upanga, pamoja na mfalme wake. Aliwateketeza wote kabisa pamoja na kila kiumbe hai kilichokuwa huko. Hakuna hata mmoja aliyesalia. Alichomfanyia mfalme wa Makeda ni sawa sawa na kile alichokuwa amemfanyia mfalme wa Yeriko.
[JOS 10:30] Yahweh pia aliitia katika mkono wa Israeli pamoja na mfalme wake. Yoshua alishambulia kila kiumbe hai ndani yake kwa upanga. Hakuacha hai hata mtu mmoja. Alichomfanyia mfalme ni sawa sawa na kile alichokuwa amemfanyia mfalme wa Yeriko.
[JOS 10:37] Waliuteka mji na kuwaua kwa upanga watu wote ndani yake pamoja na mfalme wake, kujumuisha na vijiji vyote vilivyoizunguka. Waliteketeza kabisa kila kiumbe hai ndani yake, hawakuacha hata mtu mmoja aliyesalia, ni sawa sawa na vile Yoshua alivyoitenda Egloni. Aliiteketeza kabisa, na kila kiumbe hai ndani yake.
[1KI 7:11] Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msumeno na kwa mihimili ya mierezi.
[2KI 9:26] Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake asema BWANA na nitahakikisha unalipia hili shamba asema BWANA. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la BWANA.”
[2KI 17:33] Wakamcha BWANA na pia kuabudu miungu yao wenyewe, sawa sawa na tamaduni za mataifa kutoka miongoni mwao waliokuwa wamewachukua.
[1CH 25:8] Wapiga kura kwa ajili ya kazi zao, wote sawa, sawa vivyo hivyo kwa vijana na kwa wazee, kwa mwalimu na kwa mwanafunzi.
[2CH 35:6] Chinjeni wana kondoo wa Pasaka, jitakaseni wenyewe, andaeni wana kondoo kwa ajili ya ndugu zenu, kufanya sawa sawa na neno la Yahwe ambalo lilitolewa kwa mkono wa Musa.”
[EST 5:5] Mfalme akasema, “Mleteni haraka Hamani sawa sawa na matakwa ya Malkia Esta.” Mfalme pamoja na Hamani wakahuduria katika karamu aliyoandaa malkia Esta.
[EST 9:31] Na kuthibitisha siku za Purimu sawa sawa na maelekezo ya Modekai na Esta yaliyowataka Wayahudi waadhimishe. Wayahudi wakatii maagizo kwa ajili yao na uzao wao, kama walivyotii siku za kufunga na kuomboleza.
[JOB 34:29] Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
[EZK 7:27] Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua ya kwamba mimi ni Yahwe.’”
[EZK 18:17] Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
[EZK 42:6] Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
[EZK 47:14] Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
[MAT 20:14] Pokea kile kilicho halali yako na uende zako. Ni furaha yangu kuwapa hawa wafanyakazi walioajiriwa mwisho sawa sawa na wewe.
[LUK 1:38] Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
[LUK 12:47] Mtumishi, anayejua mapenzi ya bwana wake, naye hakujiandaaa wala hakufanya sawa sawa na mapenzi yake, atapigwa viboko vingi.
[ROM 13:13] Na tuenende sawa sawa, kama katika nuru, si kwa sherehe za uovu au ulevi. Na tusienende katika zinaa au tamaa isiyoweza kudhibitiwa, na si katika fitina au wivu.
[ROM 14:5] Mtu mmoja huthamini siku moja kuliko nyingine. Mwingine huthamini kila siku sawa sawa. Hebu kila mtu na ashawishike katika akili yake mwenyewe.
[1CO 11:5] Lakini kila mwanamke aombae au kutoa unabii hali kichwa chake kikiwa wazi anakiaibisha kichwa chake. Kwa maana ni sawa sawa na kama amenyolewa.
[1JN 5:14] Na huu ndio ujasiri tulionao mbele zake, kwamba kama tukiomba kitu chochote sawa sawa na mapenzi yake, hutusikia.
amini amini (25)
[JHN 1:51] Yesu akasema, “Amini, amini nawambieni. Mtaziona mbingu zikifunguka, na kuwaona malaika wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.”
[JHN 3:3] Yesu akamjibu, “Amini, amini, mtu hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
[JHN 3:5] Yesu akajibu, “Amini, amini mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
[JHN 3:11]Amini, amini, nakuambia, twanena kile tunachokifahamu na twakishuhudia kile tulichokiona. Bali hampokei ushuhuda wetu.
[JHN 5:19] Yesu akawajibu, “Amini, amini, Mwana hawezi kufanya kitu chochote isipokuwa kile ambacho amemwona Baba yake anakifanya, kwa kuwa chochote Baba akifanyacho ndicho na Mwana atakachofanya.
[JHN 5:24]Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.
[JHN 5:25]Amini, amini, nawaambia wakati unakuja na sasa upo ambao wafu watasikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wote watakao sikia wataishi.
[JHN 6:26] Yesu akawajibu, akawambia, “Amini, amini, mnanitafuta mimi, sio kwa sababu mliziona ishara, bali kwa sababu mlikula mikate na kushiba.
[JHN 6:32] Kisha Yesu akawajibu, “Amini, amini, sio Musa aliyewapa mkate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye awapaye mkate wa kweli kutoka mbinguni.
[JHN 6:47]Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele.
[JHN 6:53] Kisha Yesu akawaambia, “Amini, amini, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamta kuwa na uzima ndani yenu.
[JHN 8:34] Yesu aliwajibu, “Amini, amini, nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
[JHN 8:58] Yesu akawaambia, “Amini, amini, nawaambia, kabla Ibrahimu hajazaliwa, MIMI NIKO.”
[JHN 10:1]Amini, amini nawaambieni, yule asiyeingia kwa kupitia mlango wa zizi la kondoo, lakini anapanda kwa njia nyingine, mtu huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
[JHN 10:7] Yesu akasema nao tena, “Amini, amini, nawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.
[JHN 12:24]Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa mazao mengi.
[JHN 13:16]Amini, Amini, nawambia, mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala yule ambaye ametumwa si mkuu kuliko yule aliye mtuma.
[JHN 13:20] “Amini, amini, nawambia, anipokeaye mimi humpokea ambaye nina mtuma, na yule anipokeaye mimi humpokea yule aliye nituma mimi.”
[JHN 13:21] Wakati Yesu aliposema haya, alisumbuka rohoni, alishuhudia na kusema, “Amini, amini, nawambia kwamba mmoja wenu atanisaliti.”
[JHN 13:38] Yesu akajibu, “Je utayatoa maisha yako kwa ajili yangu? Amini amini nakwambia, jogoo hatawika kabla hujanikana mara tatu.”
[JHN 14:12]Amini, amini, nawaambia, yeye aniaminiye, mimi kazi zile nizifanyazo, atazifanya kazi hizi pia; na atafanya hata kazi kubwa kwasababu ninakwenda kwa Baba.
[JHN 16:20]Amini, amini, nawaambia, mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utashangilia, mtakuwa na huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
[JHN 16:23] Siku hiyo hamtaniuliza maswali. Amini, Amini, nawaambia, mkiomba lolote kwa Baba, atawapa kwa jina langu.
[JHN 21:18]Amini, amini, nakuambia, ulipokuwa kijana ulizoea kuvaa nguo mwenyewe na kwenda kokote ulikotaka; lakini utakapokuwa mzee, utanyosha mikono yako, na mwingine atakuvalisha nguo na kukupeleka usikotaka kwenda.”
ile ile (23)
[GEN 17:26] Siku ile ile ambayo wote wawili Abraham na Ishmael mwanawe walipotahiriwa, ndipo
[EXO 5:6] Siku ile ile, Farao alitoa amri kwa wasimamizi na wanyapara wa wale watu. Akasema,
[EXO 5:18] Sasa rudini kazini. Hamtapewa majani tena, lakini mnapaswa kutengeneza idadi ile ile ya matofali.”
[LEV 7:7] Nayo sadaka ya dhambi ni kama ilivyo sadaka ya hatia. Ni sheria ile ile hutumika kwa zote mbili. Zote ni mali ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
[JOS 18:13] Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Addari, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
[2KI 19:28] Kwa sababu kiburi chako kimeyafikia masikio yangu, nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako; nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.”
[2KI 19:33] Njia ile ile aliyoijia ndiyo njia atakayoondokea; hatoingia mji huu hivi ndivyo asemavyo BWANA.”
[NEH 6:5] Sanbalati alimtuma mtumishi wake kwangu kwa njia ile ile mara ya tano, na barua iliyo wazi mkononi mwake.
[PRO 27:17] Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
[MAT 27:41] Katika hali ile ile wakuu wa makuhani walikuwa wakimkashifu, pamoja na waandishi na wazee, na kusema,
[MRK 14:31] Lakini Petro akasema kwa msisitizo, “ikiwa ni lazima nife nawe, sitakukana.” Wote walitoa ahadi ile ile.
[MRK 15:31] Kwa namna ile ile wakuu wa makuhani walimdhihaki wakisemezana, pamoja na waandishi na kusema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe.
[ACT 1:11] Walisema, “Enyi watu wa Galilaya, kwa nini mnasimama hapa mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyepaa juu mbinguni atarudi kwa namna ile ile kama mlivyomuona akienda mbinguni.”
[ACT 11:17] Basi ikiwa Mungu aliwapa karama ile ile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi nilikuwa nani, kwamba ningeweza kumpinga Mungu?”
[2CO 2:3] Niliandika kama nilivyofanya ili kwamba wakati nikija kwenu nisiweze kuumizwa na wale ambao wangekuwa wamenifanya nifurahi. Ninao ujasiri kuhusu ninyi nyote kwamba furaha yangu ni furaha ile ile mliyonayo ninyi nyote.
[2CO 12:18] Nilimsihi Tito kuja kwenu, na nilituma ndugu mwingine pamoja naye. Je, Tito aliwafanyia faida ninyi? Je, hatukutembea katika njia ile ile? Je, hatukutembea katika nyayo zile zile?
[GAL 3:7] Kwa namna ile ile eleweni kwamba, wale ambao wanaamini ni watoto wa Abrahamu.
[EPH 5:28] Kwa njia ile ile, waume wanatakiwa kuwapenda wake zao kama miili yao. Yule ampendae mke wake anajipenda mwenyewe.
[HEB 6:11] Na tunatamani sana kwamba kila mmoja wenu aweze kuonesha bidii ile ile mpaka mwisho kwa uhakika wa ujasiri.
[HEB 10:11] Ni kweli, kila kuhani husimama kwa huduma siku kwa siku, akitoa dhabihu ile ile, ambayo, kwa vyovyote, kamwe isingeweza kuziondoa dhambi.
[HEB 11:9] Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni. Aliishi katika mahema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi wenzake wa ahadi ile ile.
[2PE 1:1] Simon Petro, Mtumwa na Mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale walioipokea imani ile ile ya thamani kama tulivyoipokea sisi, imani iliyo ndani ya haki ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristo.
[JUD 1:8] Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya viumbe takatifu
hivyo hivyo (18)
[EXO 22:30] Lazima ufanye hivyo hivyo kwa ng'ombe na kondoo wako. Kwa siku saba lazima wabaki na mama zao, lakini siku ya nane lazima unipe mimi.
[NUM 9:16] Liliendelea hivyo hivyo. Lile wingu lilifunika masikani na kuonekana kama moto wakati wa usiku.
[1KI 1:37] Kama vile BWANA alivyokuwa na mfalme Bwana wangu na awe na Sulemani hivyo hivyo, na kuifanya enzi yake kuwa kubwa kuliko zaidi ya enzi ya Bwana wangu Daudi.”
[1KI 6:26] Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4.5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
[2CH 2:3] Sulemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, mfalme wa Tiro, ukisema, “Kama ulivyofanya na Daudi baba yangu, ulivyomtumia magogo ya mierezi ili ajenge nyumba ya kuishi, fanya hivyo hivyo na mimi.
[2CH 27:5] Pia alipigana na mfalme wa watu wa Amoni na akawashinda. Katika mwaka huo huo, watu wa Amoni walimpa talanta mia moja za fedha, kori elfu kumi za ngano, kori elfu kumi za shayiri. Watu wa Amoni wakampa hivyo hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu.
[2CH 31:17] Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za baba zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamuzao.
[2CH 32:17] Senakeribu pia akaandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
[2CH 34:6] Alifanya hivyo hivyo katika miji ya Manase, Efraimu, na Simeoni, sehemu zote hadi Neftali, na katika maeneo yaliyoizunguka.
[ECC 5:16] Jambo jingine baya kabisa, kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo. Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo?
[ECC 10:1] Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
[ISA 24:2] Itakuwa kama ilivyo kwa watu itakuwa hivyo hivyo kwa kuhani; na kwa watumishi na kwa bwana wake, na kwa mfanyakazi wa ndani itakuwa hivyo na kwa tajiri yake, ndivyo itakavyokuwa kwa anayeuza na anayenunua; ndivyo itakavyokwa kwa wenye kupata faida na wenye madeni, na wale wenye kupokea faida itakuwa hivyo hivyo kwa wale wenye kutoa faida.
[ISA 24:2] Itakuwa kama ilivyo kwa watu itakuwa hivyo hivyo kwa kuhani; na kwa watumishi na kwa bwana wake, na kwa mfanyakazi wa ndani itakuwa hivyo na kwa tajiri yake, ndivyo itakavyokuwa kwa anayeuza na anayenunua; ndivyo itakavyokwa kwa wenye kupata faida na wenye madeni, na wale wenye kupokea faida itakuwa hivyo hivyo kwa wale wenye kutoa faida.
[DAN 2:15] Danieli alimwuliza kamanda wa mfalme, “Kwanini amri ya mfalme ni ya haraka hivyo?” Hivyo, Arioki akamwambia Danieli kile kilichotokea.
[ZEC 11:12] Nikawaambia, “Ikiwa itawapendeza, nilipeni ujira wangu. Kama sivyo, msifanye hivyo.” Hivyo wakapima ujira wangu - vipande thelathini vya fedha.
[ZEC 12:2] “Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
[MAT 7:12] Kwa sababu hiyo, unapotaka kufanyiwa kitu chochote na watu wengine, nawe pia itakupasa kuwafanyia hivyo hivyo wao. Kwa kuwa hiyo ni sheria na manabii.
[MAT 20:5] Akaenda tena baada ya masaa sita na tena katika saa ya tisa, na alifanya hivyo hivyo.
na na (18)
[GEN 46:15] Hawa walikuwa wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan aramu, pamoja na na Dina binti yake. Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
[JOS 22:8] na kisha akawaambia, “Rudini katika hema zenu mkiwa na pesa nyingi, na mkiwa na mifugo mingi, pamoja na na fedha, na dhahabu, na shaba na chuma, na nguo nyingi. Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua kutoka kwa maadui zenu.
[JOS 24:13] Niliwapeni ninyi nchi ambayo hamkuifanyia kazi na miji ambayo hamkuijenga, na sasa mnaishi ndani yake. Mnakula matunda ya mizabibu na na mashamba ya mizeituni ambayo hamkuyapanda.’
[1CH 17:8] Nimekuwa nawe pote ulipo enda na nimewakata maadui zako wote, na na nitakufanyia jina, kama jina la wakuu wa dunia.
[2CH 18:25] Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
[2CH 25:1] Amaza alikuwa na umri wa miaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
[2CH 32:27] Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
[2CH 34:4] Watu wakazivunja madhabahu za Baali katika uwepo wake; akazibomoa nguzo za Maashera na na zile sanamu za kuchonga, na sanamu za chuma ya kuyeyushwa katika vipande hadi zikawa mavumbi. Akayasambaza mavumbi juu ya makaburi ya wale ambao walizitolea sadaka.
[ISA 3:20] kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
[ISA 7:21] Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
[ISA 14:21] Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.”
[ISA 15:2] Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
[ISA 28:29] Haya yanatoka kwa Yahwe wa majeshi, yeye aliye mshauri wa ajabu na na mwenye ubara wa hekima.
[ISA 43:19] Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangwani na na mikondo ya maji katika jangwa.
[JER 6:5] Lakini tumvamieni usiku na na tuharibu ngome zake.
[JER 28:8] Manabii ambao walikuwepo mbele yangu na na mbele yenu muda mrefu uliopita pia walitabiri kuhusu mataifa mengi na juu ya falme kuu, kuhusu vita, njaa, na mapigo.
[EZK 44:5] Kisha Yahwe akanambia, “Mwanadamu, andaa moyo wako na tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako kwa yote yale nikuambiayo, kwa amri zote za nyumba ya Yahwe na maagizo yote. Fikiri kuhusu malango ya nyumba na na matokeo ya malango.
[DAN 3:2] Kisha Nebukadneza alituma ujumbe wa kuwaita pamoja magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na na washauiri, wa hazina, waamuzi, mahakimu, na maafisa wengine wakuu wa majimbo ili waje kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu aliyokuwa ameiweka.
mungu mungu (16)
[GEN 46:3] Akasema, “Mimi hapa.” Akasema, “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kushuka Misri, kwa maana nitakufanya taifa kubwa huko.
[NUM 16:22] Musa na Haruni wakalala kifudifudi na kusema, “Mungu, Mungu wa wote wenye mwili, kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote?”
[DEU 7:9] Kwa hiyo tambua ya kuwa Yahwe Mungu wako-ni Mungu, Mungu mwaminifu, anayetunza maagano na uaminifu kwa vizazi elfu kwa wale wanaompenda na kuyashika maagizo yake,
[1CH 28:20] Daudi akasema kwa Sulemani mwanae, “Kuwa hodari na mjasiri. Fanya kazi. Usiogope au kufadhai, kwa kuwa Yahweh Mungu, Mungu wangu, yupo nawe. Hatakuacha wala kukutelekeza mpaka kazi ya huduma ya hekalu la Yahweh imekamilika.
[2CH 34:32] Aliwasababisha wote walioonekana katika Yerusalemu na Benjamini kusimama kwa agano. Wakaaji wa Yerusalemu wakatembea kwa agano la Mungu, Mungu wa baba zao.
[PSA 42:2] Nina kiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
[PSA 43:4] Kisha nitakwenda madhabahuni mwa Mungu, kwa Mungu wangu aliye furaha yangu kuu. Nami nitakusifu wewe kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
[PSA 45:7] Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
[PSA 50:7] Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
[PSA 67:6] Nchi imetoa mavuno yake na Mungu, Mungu wetu, ametubariki.
[PSA 68:8] nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
[PSA 72:18] Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
[ECC 5:2] Usiwe mwepesi wa kuongea kwa mdomo wako, na usiufanye moyo wako kuleta jambo lolote kwa haraka mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni, lakini uko duniani, kwa hiyo maneno yako yawe machache.
[ROM 8:33] Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.
[1CO 3:17] Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu yule. Kwa kuwa hekalu la Mungu ni takatifu, na hivyo na ninyi.
[1JN 4:15] Kila anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anakaa ndani yake na yeye ndani ya Mungu.
mbali mbali (14)
[1CH 26:7] Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
[1CH 29:2] Hivyo nimefanya kwa ubora wangu kutoa kwa ajili ya hekalu la Mungu. Nina toa dhahabu kwa vitu vitakavyotengenezwa na dhahabu, fedha kwa vitu vitu vitakavyotengenezwa na fedha, shaba kwa vitu vitakavyotengenezwa na shaba, nishati kwa vitu vitakavyotengenezwa na nishati, na mbao kwa vitu vitakavyotengenezwa na mbao. Pia nina toa mawe ya shohamu, mawe ya kupangwa, mawe ya upambaji wandani ya rangi mbali mbali - kila haina ya mawe ya thamani - na marimari kwa wingi.
[2CH 16:14] Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.
[2CH 21:4] Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongozi wengine mbali mbali wa Israeli.
[JOB 15:23] Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, ‘Kiko wapi?’ Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
[EZK 20:6] siku hiyo niliinua mkono wangu kuapa kiapo kwa ajili yao kwamba nitawatoa kutoka nchi ya Misri kwenye nchi ambayo niliyokuwa nimeichagua kwa umakini kwa ajili yao. Ilikuwa ikitiririka maziwa na asali; ilikuwa nzuri sana utukufu miongoni mwa nchi mbali mbali.
[EZK 22:15] Hivyo nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali. Katika njia hii, nitausafisha uchafu kutoka kwako.
[EZK 27:16] Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
[EZK 29:12] Kwa kuwa nitaifanya nchi ya Misri kuwa ukiwa kati ya nchi zilizoharibiwa, na miji yake kati ya miji isiyotumika itakuwa ukiwa kwa miaka arobaini; kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa, nitawatapanya kati ya nchi mbali mbali.
[EZK 30:23] Kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali.
[EZK 34:13] Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
[JHN 11:52] na si kwa taifa peke yake, bali Yesu apate vile vile kuwakusanya watoto wa Mungu ambao wametawanyika sehemu mbali mbali.
[JAS 1:2] Hesabuni kuwa ni furaha zaidi, ndugu zangu, mnapopita katika majaribu mbali mbali,
[1PE 1:6] Furahini katika hili, ingawaje sasa ni lazima kwenu kujisikia huzuni katika majaribu ya aina mbali mbali.
ule ule (14)
[GEN 21:2] Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.
[LEV 23:6] Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahwe. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
[2CH 21:10] Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna piaaliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa baba zake.
[JOB 8:19] Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
[JER 28:17] Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, Hanania nabii akafa.
[EZK 42:11] Zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
[EZK 46:22] Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na uzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa uzio zote nne.
[DAN 4:36] Kwa wakati ule ule utimamu wa akili zangu uliponirudia, utukufu wangu na fahari yangu ilinirudia kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na watu wenye heshima walitafuta msaada wangu. Nilirudishwa kwenye kiti changu cha enzi, na nilipewa ukuu zaidi.
[MRK 7:35] Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
[JHN 4:53] Ndipo baba yake akatambua kuwa ni muda ule ule Yesu aliosema, “Mwana wako ni mzima.” Hivyo yeye na familia yake wakaamini.
[ACT 22:13] Akaja kwangu, akasimama mbele yangu, na kusema, ‘Ndugu yangu Sauli, upate kuona. ‘Kwa muda ule ule nikamuona.
[ACT 24:15] Nina ujasiri ule ule kwa Mungu ambao hata hao nao wanaungojea, kuja kwa ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na wasio na haki pia;
[1CO 12:12] Kwa maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote ni vya mwili ule ule, vivyo hivyo na Kristo.
[PHP 3:21] Atabadilisha miili yetu dhaifu kuwa kama mwili wake wa utukufu; kwa uweza ule ule unaomwezesha kuvidhibiti vitu vyote.
mmoja mmoja (13)
[NUM 7:23] Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
[NUM 7:29] Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. Kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
[NUM 7:71] Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
[NUM 7:83] Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
[NUM 7:87] Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
[JOS 7:14] Asubuhi, mtajisogeza wenyewe kwa makabila. Kabila lile ambalo Yahweh atalichagua litasogea karibu kwa koo zake. Ukoo ule ambao Yahweh atauchagua lazima usogee karibu na nyumba. Nyumba ambayo Yahweh ataichagua lazima isogee karibu na mtu mmoja mmoja.
[1KI 20:35] Mtu mmoja, mmoja wana wa wana wa manabii, akamwambia mmoja wa wale manabii wenzake kwa neno la BWANA, “Tafadhali nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.
[ISA 3:5] Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
[ISA 13:8] Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
[ISA 27:12] Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
[ISA 50:8] Yeye aliye nitakasa mimi yu karibu. Ni nani atakayenipinga mimi? Basi na tusimame tufarijiane mmoja mmoja. Nani aliye mshitaki? Muache aje karibu na mimi.
[LUK 7:41] Yesu akasema, “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
[JHN 8:9] Waliposikia hayo, waliondoka mmoja mmoja, kuanzia aliye mzee. Mwishowe Yesu aliachwa peke yake, pamoja na mwanamke aliyekuwa katikati yao.
bwana bwana (12)
[JDG 3:9] Watu wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamuinua mtu atakayewasaidia wana wa Israeli, na mtu atakayewaokoa: Othnieli mwana wa Kenazi (ndugu mdogo wa Kalebu).
[JDG 3:12] Baada ya hayo, Waisraeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu, kuwashinda Waisraeli.
[JDG 3:15] Wana wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamwinua mtu aliyewasaidia, Ehudi mwana wa Gera, Mbenjamini, mtu shoto. Wana wa Israeli wakamtuma kwa Egloni, mfalme wa Moabu, kwa malipo yao ya kodi.
[1SA 12:8] Yakobo alipokuwa amefika Misri, na babu zenu walimlilia BWANA. BWANA alimtuma Musa na Haruni, waliowaongoza babu zenu kutoka Misri na wakaja kukaa sehemu hii.
[MAT 7:21] Si kila mtu aniambiaye mimi, ‘Bwana, Bwana,’ ataingia katika ufalme wa mbinguni, bali ni yule pekee atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
[MAT 7:22] Watu wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako, hatukutoa mapepo kwa jina lako, na kwa jina lako tulifanya matendo mengi makuu?’
[MAT 25:11] Baadaye wale wanawali wengine pia walifika na kusema, ‘Bwana, bwana, tufungulie.’
[LUK 6:46] Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ na bado hamyatendi yale nisemayo?
[LUK 13:25] Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, ‘Bwana, Bwana, tufungulie,’ yeye atajibu na kuwaambia, ‘Siwajui ninyi wala mtokako.’
[ACT 9:5] Sauli akajibu, “U nani wewe Bwana?” Bwana akasema, “Mimi ndiye Yesu ambaye unamtesa:
[ACT 22:10] Nikasema, ‘Nifanye nini, Bwana?’ Bwana akaniambia, ‘Simama na uingie Dameski; huko utaambiwa kila kitu unachopaswa kufanya.’
[ACT 26:15] Ndipo nikasema, ‘Wewe ni nani, Bwana?’ Bwana akajibu, ‘Mimi ni Yesu ambaye unanitesa.
kile kile (10)
[EXO 39:5] Nao mshipi, uliokuwa juu yake ili kuifunga, ulikuwa wa kitambaa kile kile kulingana na ufundi wake, wa dhahabu, uzi wa samawati, na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
[DEU 7:19] Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.
[2CH 18:11] Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. Kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
[EZK 40:10] Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
[EZK 40:10] Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
[EZK 45:11] Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
[MAT 21:30] Na mtu yule akaenda kwa mwana wa pili na kusema kitu kile kile. Mwana huyu akajibu na kusema, ‘Nitakwenda, bwana.’ Lakini hakwenda.
[1CO 10:3] na wote walikula chakula kile kile cha roho.
[1CO 10:4] Wote walikunywa kinywaji kile kile cha roho. Maana walikunywa kutoka katika mwamba wa roho uliowafuata, na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
[2CO 11:12] Lakini kile ninachokifanya, nitakifanya pia. Nitakifanya ili kwamba niweze kuzuia nafasi ya wale wanaotamani nafasi ya kuwa kama tulivyo katika kile kile wanachojivunia.
mfalme mfalme (10)
[2SA 11:8] Daudi akamwambia Uria, “Shuka nyumbani kwako, unawe miguu yako.” Hivyo Uria akaondoka katika kasri la mfalme, mfalme akamtumia zawadi kwa Uria alipoondoka.
[2SA 19:25] Na hivyo alipotoka Yerusalemu ili kumlaki mfalme, mfalme akamwambia, “Mefiboshethi kwa nini haukwenda pamoja nami?”
[1KI 22:15] Naye alipokuja kwa mfalme, mfalme akamwambia, “Mikaya, je twende Ramothi Gileadi kupigana, au tusiende?” Mikaya akamjibu, “Ivamie na ushinde. BWANA ataitoa kwenye mkono wa mfalme.”
[NEH 2:3] Nikamwambia mfalme, “Mfalme aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni? Ikiwa mji, mahali pa makaburi ya baba yangu, uko katika magofu, na malango yake yameharibiwa kwa moto.”
[NEH 2:5] Nikamwambia mfalme, “Mfalme akiona vema, na ikiwa mtumishi wako amefanya vizuri machoni pako, unaweza kuniruhusu niende Yuda, mji wa kaburi za baba zangu, ili nipate kuujenga tena.”
[EST 5:1] Baada ya siku tatu, Esta akajivika mavazi yake ya kimalkia na akasimama sehemu ya ndani ya ua wa ikulu ya mfalme, mbele ya nyumba ya mfalme. Mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake cha enzi, na akitazama mlango wa kuingilia.
[EST 6:5] Watumishi wakamjibu, “Hamani amesimama katika ua ya mfalme.” Mfalme akasema, “Mwambieni aingie ndani.”
[DAN 5:5] Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa chokaa katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
[DAN 5:13] Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
[EXO 14:27] Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida kulipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri kati kati yake.
[NUM 16:48] Haruni akasimama kati kati ya zile maiti na watu walio hai; na kwa njia hii ile tauni ikazuiwa.
[JOS 24:17] kwa kuwa ni Yahweh Mungu wetu ambaye alitutoa sisi na baba zetu kutoka katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa, na ambaye alifanya hizo ishara kubwa mbele yetu, na ambaye alituhifadhi sisi katika njia zote ambazo sisi tuliziendea, na miongoni mwa mataifa yote ambayo tulipita kati kati yake,
[1KI 7:28] Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
[2CH 4:17] Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
[2CH 7:13] Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
[2CH 20:14] Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
[JER 9:10] Nitaimba wimbo wa kuomboleza na kulia kwa ajili ya milima, na wimbo wa mazishi utaimbwa nyikani. Kwa kuwa wameteketezwa kwa hiyo hakuna anayeweza kupita kati kati yao. Hawatasikia sauti ya ng'ombe yeyote. Ndege wa angani na wanyama wote wamekimbia.
[JER 9:12] Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya? Je, kinywa cha Bwana kinatangaza nini kwake ili aweze kuyasema? Kwa nini nchi imepotea? Imeharibiwa kama jangwa, ambapo hakuna apitaye kati kati yake.
yule yule (9)
[2CH 32:12] Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
[JOB 9:7] Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
[JOB 9:10] Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
[JHN 11:2] Alikuwa ni Mariamu yule yule aliyempaka Bwana marhamu na kumfuta miguu yake kwa nywele zake, ambaye ndugu yake Lazaro alikuwa ni mgonjwa.
[ACT 7:37] Ni Musa yule yule aliyewaambia watu wa Isiraeli kuwa, ‘Mungu atawainulieni nabii kutoka miongoni mwa ndugu zenu, nabii kama mimi.’
[ROM 10:12] Kwa kuwa hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Bwana yule yule ni Bwana wa wote, na ni tajiri kwa wote wamwitao.
[1CO 12:8] Maana mtu mmoja amepewa na Roho neno la hekima, na mwingine neno la maarifa kwa Roho yule yule.
[1CO 12:11] Lakini Roho ni yule yule atendaye kazi hizi zote, kumpa kila mtu karama kwa kadiri ya uchaguzi wake mwenyewe.
[HEB 1:12] Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilika kama vazi. Lakini wewe ni yule yule, na miaka yako haitakoma.”
daudi daudi (7)
[1SA 25:10] Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Daudi ni nani? Na ni nani mwana wa Yese? Siku hizi wapo watumishi wengi wanaotoroka bwana zao.
[2SA 3:1] Kulikuwa na vita ya mda mrefu kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi. Daudi akaendelea kupata nguvu zaidi, lakini nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika na kudhoofika.
[2SA 3:20] Wakati Abneri na watu ishirini kati ya watu wake walifika Hebroni kumuona Daudi, Daudi akaandaa sherehe kwa ajili yao.
[2SA 3:22] Kisha askari wa Daudi na Yoabu wakarudi kutoka katika kuteka nyara na wakaja na nyara nyingi. Lakini Abneri hakuwepo Hebroni pamoja na Daudi. Daudi alikuwa amemruhusu kuondoka, na alikuwa ameondoka kwa amani.
[2SA 9:6] Hivyo Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, akaja kwa Daudi naye akainama uso wake hadi katika sakafu kwa kumheshimu Daudi. Daudi akasema, “Mefiboshethi.” Naye akajibu, “Angalia, mimi ni mtumishi wako!”
[2SA 23:1] Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi-Daudi mwana wa Yese, mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo, mwandishi mzuri wa zaburi wa Israeli.
[MAT 1:6] Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
ole ole (7)
[EZK 16:23]Ole! Ole wako! -Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwahiyo, zaidi ya hapo kwa haya maovu yote,
[AMO 5:16] Kwa hiyo, hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, Bwana, “Kutakuwa na maombolezo kwenye njia kuu zote, na watasema kwenye mitaa yote, ‘Ole! Ole!’ Watawaita wakulima kuomboleza na waombolezao stadi waomboleze.
[REV 8:13] Nilitazama, na nikasikia tai aliye kuwa anaruka katikati ya anga, akiita kwa sauti kuu, “Ole, ole, ole, kwa wale wakaao katika nchi, kwa sababu ya mlipuko wa tarumbeta iliyosalia ambayo imekaribia kupigwa na malaika watatu.”
[REV 8:13] Nilitazama, na nikasikia tai aliye kuwa anaruka katikati ya anga, akiita kwa sauti kuu, “Ole, ole, ole, kwa wale wakaao katika nchi, kwa sababu ya mlipuko wa tarumbeta iliyosalia ambayo imekaribia kupigwa na malaika watatu.”
[REV 18:10] Watasimama mbali naye, kwa hofu ya maumivu yake wakisema, “Ole, ole kwa mji mkuu, Babeli, mji wenye nguvu! Kwa saa moja hukumu yako imekuja.”
[REV 18:16] Wakisema, “Ole, ole mji ule mkuu uliovikwa kitani nzuri, zambarau, na nyekundu, na kupambwa kwa dhahabu, na vito vya thamani na lulu!”
[REV 18:19] Walitupa mavumbi juu ya vichwa vyao, na walilia, wakitokwa machozi na kuomboleza, “Ole, ole mji mkubwa mahali wote waliokuwa na meli zao baharini walikuwa matajiri kutokana na mali zake. Ndani ya saa moja umeangamizwa.”
sauli sauli (7)
[1SA 24:7] Hivyo Daudi akawakemea watu wake kwa maneno haya, na kuwazuia wasimpige Sauli. Sauli akasimama, akatoka pangoni, na kwenda zake.
[1SA 24:16] Daudi alipomaliza kuongea maneno haya kwa Sauli, Sauli akasema, “Hii ni sauti yako, mwanangu Daudi?” Sauli alipaza sauti yake akalia.
[1CH 8:33] Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
[1CH 9:39] Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
[ACT 9:4] naye akaanguka chini na akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona wanitesa mimi?”
[ACT 22:7] Nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniambia, ‘Sauli, Sauli kwanini unanitesa?’
[ACT 26:14] Sisi sote tulipoanguka chini, nilisikia sauti ikizungumza na mimi ikisema katika lugha ya Kiebrania: ‘Sauli, Sauli! Kwa nini unanitesa? Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo.’
wewe wewe (7)
[1KI 18:17] Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe? Wewe mtabishaji wa Israeli!”
[JOB 14:15] Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
[PSA 60:4] Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bendera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. Sela
[ISA 44:21] Fikiria kuhusu vitu hivi, Yakobo na Israeli, maana wewe ni mtumishi wangu: Nimekuumba wewe; wewe ni mtumishi wangu.
[JER 51:62] Nawe utasema, ‘Yahweh, wewe! - Wewe mwenyewe umesema kwamba utapaharibu mahali hapa. Hapatakuwa na wenyeji, watu au wanyama. Patakuwa nchi isiyofaa daima.’
[OBA 1:3] Kiburi cha moyo wako kimekudanganya wewe, wewe ambaye unaishi katika makaburi ya miamba, katika nyumba yako ya juu; asemaye moyoni mwako, ‘Ni nani atakayenishusha mimi chini?’
[MIC 7:18] Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
yahwe yahwe (7)
[GEN 38:7] Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele za Yahwe. Yahwe akamwua.
[GEN 38:10] Alilolifanya lilikuwa ovu mbele za Yahwe. Yahwe akamwua pia.
[2SA 22:29] Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
[PSA 118:5] Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe; Yahwe alinijibu na kuniweka huru.
[ISA 6:5] Ndipo nikasema, “Ole wangu" ninastahili adhabu maan mimi ni mtu mwenye midomo michafu, na ninaishi na watu wenye midomo michafu, maana macho yangu yamemuona Mfalme, Yahwe, Yahwe wa majeshi.”
[ISA 38:11] Nikasema sitamuona tena Yahwe, Yahwe kaika nchi ninayoishi; sitaangalia watu tena au wenyeji wa dunia hii.
[JOB 19:25] Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
[PSA 101:4] Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
[ISA 45:6] kwamba watu wajue kutoka mapambazuko ya jua, na kutoka magharibi, kwamba hakuna mungu mwngine ila mimi: Mimi ni Yahwe, na hakuna mwingine.
[ISA 51:12] “Mimi, mimi ndiye niwapae faraja. Kwa nini uwaogope watu, ambao wanakufa, watoto wa wanadamu, waliofanywa kama majani?
[JHN 15:9] Kama baba yangu alivyonipenda mimi, mimi pia nimewapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
tofauti tofauti (6)
[PSA 18:14] Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
[EZK 16:16] Kisha ulichukua nguo zako na pamoja nao umepatengeneza mahali pa juu kwa ajili yako palipambwa kwa rangi tofauti tofauti, na hapo ulifanya kama kahaba. Haya hayatakuweko. Wala hayatatokea.
[EZK 30:26] Hivyo nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti. Kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe.”’
[EZK 47:10] Kisha itatokea kwamba wavuvi wa Engedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na Englaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
[1CO 12:4] Basi kuna karama tofauti tofauti, bali Roho ni yeye yule.
[1CO 12:5] Na kuna huduma tofauti tofauti, bali Bwana ni yeye yule.
wazi wazi (6)
[NUM 33:3] Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
[JHN 7:26] Na tazama, anaongea wazi wazi, na hawasemi chochote juu yake. Haiwezi ikawa kwamba viongozi wanajua kweli kuwa huyu ni Kristo, inaweza kuwa?
[JHN 11:14] Ndipo Yesu akazungumza nao wazi wazi, “Lazaro amekufa.
[JHN 11:54] Yesu hakutembea tena wazi wazi kati ya Wayahudi, bali aliondoka hapo na kwenda nchi iliyo karibu na jangwa katika mji uitwao Efraimu. Hapo alikaa na wanafunzi.
[JHN 16:29] Wanafunzi wake wakamwambia, “Unaona, sasa unaongea wazi wazi na hautumii mafumbo.
[ACT 20:20] Mwajua jinsi ambavyo sikujizuia kutangaza kwenu kitu chochote ambacho kilikuwa muhimu, na jinsi mimi nilivyowafundisha wazi wazi na pia kwenda nyumba kwa nyumba.
ya ya (6)
[LEV 14:25] Atamuua mwana kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia, na atachukua baadhi ya ya damu ya sadaka ya hatia na kuiweka juu ya ncha ya sikio la kulia la yule wakutakaswa, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye dole kubwa la mguu, wa kulia.
[NUM 28:6] Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
[2CH 34:3] Kwa maana ndani ya miaka minane ya ya utawala wake, alipokuwa bado kijana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi, babu yake. Katika miaka ishirini, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, vituo vya Maashera, na sanamu za kuchonga na sanamu za chuma ya kuyeyushwa.
[ISA 21:17] Ni baadhi ya ya wavuta upinde, mashujaa wa Kedari watabakia,” maana Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.
[ISA 25:6] Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
[EZK 43:7] Akaniambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
amka amka (5)
[JDG 5:12]Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
[JDG 5:12] Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
[ISA 51:9]Amka, amka, jivishe wewe mwenyewe kwa nguvu, mkono wa Yahwe. Amka kama siku za zamani, kizazi cha nyakati za kale, Je, sio wewe uliyeangamiza mnyama wa baharini, na uliyemchoma joka?
[ISA 51:17]Amka, amka, simama juu, Yerusalemu, ewe unyweae katika kikombe cha hasira ya Yahwe kutoka mkononi mwako; umekunywa katika kikombe, kikombe cha mateso, na umekunywa na kumaliza.
[ISA 52:1]Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena asiyetahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
hapo hapo (5)
[2SA 2:23] Lakini Asaheli hakukubali kugeuka; na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
[PSA 55:15] Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao.
[ISA 37:30] Hii itakuwa wimbo kwenu: mwaka huu mtakula kinachoota porini na mwaka pili mtakula kinachoota hapo hapo. Lakini mwaka wa tatu lazima mpande na mvune, pandeni mizabibu na mle matunda yake.
[MAT 8:3] Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
[MRK 10:52] Yesu akamwambia, “Nenda. Imani yako imekuponya.” Hapo hapo macho yake yakaona mara akaweza kuona tena; na akamfuata Yesu barabarani.
hicho hicho (5)
[2KI 4:17] Lakini yule mwanamke akabeba mimba na kujifungua mtoto wa kiume kipindi hicho hicho katika mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.
[2KI 8:22] Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
[MAT 7:2] Kwa hukumu unayohukumu, nawe utahukumiwa. Na kwa kipimo unachopima na wewe pia utapimiwa hicho hicho.
[LUK 6:34] Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
[LUK 6:38] Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
kando kando (5)
[EXO 29:16] Kisha utamchinja huyo kondoo mume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
[EXO 29:20] Kisha utamchinja kondoo, na kuitwaa damu yake, na kuitia katika ncha ya sikio la Haruni la upande wa kuume, na katika ncha za masikio ya kuume ya wanawe, na katika vyanda vya gumba vya mikono yao ya kuume, na katika vidole vikuu vya miguu yao ya kuume, na kuinyunyiza hiyo damu katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
[EXO 30:3] Nawe utaifunikiza dhahabu safi juu yake - na mbavu zake kando kando, na pembe zake. Nawe utaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka.
[EZK 45:6] Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
[LUK 8:12] Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
kwa kwa (5)
[ISA 11:12] Ataweka bendera kwa kwa mataifa na atakusanya Waisreli waliotupwa na watu wa Juda waliotawanyika kitika pembe nne za dunia.
[EZK 45:1] Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadaka kwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
[DAN 5:1] Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
[DAN 11:23] Tangu katika kipindi kile ambacho makubaliano yalifanywa pamoja naye, ataenenda kwa kwa hila; atakuwa mwenye nguvu akiwa na watu wachache tu.
[JOL 1:12] Mzabibu umekauka na mitini umenyauka; miti ya mkomamanga, pia mitende, na miti ya epo - miti yote ya shambani imenyauka. Hakika furaha imekauka kwa kwa wanadamu.
pale pale (5)
[JOS 6:5] Kisha watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu, na mtakaposikia sauti za tarumbeta watu wote na wapige kelele kwa mshindo kuu, na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale. Wanajeshi ni lazime washambulie, kila mmoja aende mbele moja kwa moja.
[2SA 6:7] Kisha hasira ya Yahweh ikawaka dhidi ya Uza. Mungu akampiga kwa ajili ya dhambi yake. Uza akafa pale pale kando ya sandaku la Mungu.
[1CH 21:28] Daudi alipo ona kuwa Yahweh amemjibu kwenye eneo la kupeta la Orinani Myebusi, alitoa dhabihu pale pale kwa wakati huo.
[PSA 2:12] Mmbusu mwana, vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
[PSA 48:6]Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
wawili wawili (5)
[GEN 7:2] Kwa kila mnyama aliye safi utakuja nao saba wa kiume na saba wa kike. Na kwa wanyama wasio safi, walete wawili wawili, wa kiume na wa kike.
[GEN 7:9]wawili wawili, mume na mke wakaja kwa Nuhu na wakaingia katika safina, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza Nuhu.
[ISA 21:9] Tazama gari linakuja na wakiwa wawili wawili. Anaita, “Babeli umeanguka, umeanguka, na sanamu za kuchonga za miungu yao zimevunjika chini.”
[MRK 6:7] Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili akaanza kuwatuma wawili wawili. Aliwapa mamlaka juu ya pepo wachafu,
[LUK 10:1] Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
yahweh yahweh (5)
[EXO 34:6] Yahweh akapita kwake na kukiri, “Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema, sio mwepesi wa hasira, na anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu,
[JOS 1:1] Ikawa baada ya kifo cha Musa, mtumishi wa Yahweh, Yahweh alimwambia Yoshua, mwana wa Nuni, msaidizi mkuu wa Musa, kusema,
[JOS 5:6] Kwasababu watu wa Israeli walitembea nyikani miaka arobaini, mpaka watu wa vita, yaani wanaume wote waliotoka Misri walikufa, kwasababu hawakuitii sauti ya Yahweh. Yahweh aliwaapia kwamba hawataruhusu kuiona nchi ambayo aliwaapia baba zao kwamba angetupatia sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.
[1CH 13:6] Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, aketiye juu ya makerubi.
[JER 34:4] Sedekia mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Yahweh! Yahweh anasema hivi kuhusu wewe, ‘Hautakufa kwa upanga.
juu juu (4)
[JDG 9:53] Lakini mwanamke akatupa jiwe la juu, juu ya kichwa cha Abimeleki likavunja fuvu lake.
[2KI 16:4] Akatoa sadaka na kuchoma ubani mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi.
[JER 6:14] Lakini wameponya vidonda vya watu wangu kwa juu juu tu. Wanasema, ‘Amani! Amani! Na kumbe amani haipo.
[JER 8:11] Kwa kuwa wametibu jeraha ya binti za watu wangu kwa juu juu. Walijisemea, “Amani, Amani,” na kumbe hapakuwa na amani.
kama kama (4)
[2CH 25:4] Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyo andikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
[EZK 16:22] Katika machukizo yako yote na matendo yako ya kikahaba hukutafakari kuhusu siku za ujana wako, wakati ulipokuwa uchi na bila nguo kama kama umepigwa katika damu.
[EZK 27:14] Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
[EZK 33:9] Lakini wewe, kama ukimwonya mwovu kuhusu hii njia, hivyo basi anaweza kurudi kutoka hiyo, na kama kama asipogeuka kutoka njia yake, kisha atakufa katika dhambi yake, lakini wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako.
kweli kweli (4)
[JHN 1:47] Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake na akasema, “Tazama, Mwisraeli kweli kweli asiye na udanganyifu ndani yake!”
[1TI 5:5] Lakini mjane kweli kweli ni yule aliyeachwa peke yake. Naye huweka tegemeo lake kwa Mungu. Siku zote hudumu katika sala na maombi usiku na mchana.
[1TI 5:16] Kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane, basi na awasaidie, ili kanisa lisilemewe, ili liweze kuwasaidia wale walio wajane kweli kweli.
naye naye (4)
[GEN 3:6] Na mwanamke alipoona kuwa mti ni mzuri kwa chakula, na kuwa unapendeza macho, na kwamba mti ulitamanika kwa kumfanya mtu awe mwerevu, alichukua sehemu ya tunda na akala. Na sehemu yake pia akampatia mumewe aliyekuwa naye, naye akala.
[EXO 29:21] Kisha twaa katika hiyo damu iliyo juu ya madhabahu, na katika hayo mafuta ya kutiwa, na kumnyunyizia Haruni, juu ya mavazi yake, na wanawe, na mavazi yao pia, pamoja naye; naye atatakaswa, na mavazi yake, na wanawe, na mavazi ya wanawe, pamoja naye.
[NEH 4:3] Tobia Mwamoni alikuwa pamoja naye, naye akasema, ‘Ikiwa tu mbweha angepanda juu ya hichi wanachokijenga, angeubomoa ukuta huo wa mawe.”
[LUK 14:25] Sasa umati mkubwa walikuwa wanakwenda pamoja naye, naye akageuka na akawaambia,
siku siku (4)
[EXO 13:3] Musa akawambia watu, “Kumbukeni hii siku, siku mliotoka Misri, kutoka nyumba ya utumwa, kwa mkono hodari wa Yahweh amewatoa kutoka hii sehemu. Hakuna mkate wa hamira waruhusiwa kuliwa.
[ISA 30:25] Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
[JER 20:7] “Umenidanganya, Bwana. Kwa hakika nimedanganyika. Wewe ulinikamata na kunishinda. Nimekuwa kitu cha kuchekesha. Watu wananidharau kila siku, siku zote.
[EZK 24:2] “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
unga unga (4)
[NUM 28:28] Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
[NUM 29:3] Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
[NUM 29:9] Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
[NUM 29:14] Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
wa wa (4)
[NUM 25:2] kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu wao. Kwa hivyo watu wakala na kuisujudia miungu wa wa Moabu.
[NUM 34:6] Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa wa Magharibi.
[NEH 7:49] wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
[EZK 8:11] Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
yale yale (4)
[LEV 14:28] Ndipo kuhani ataweka kiasi cha mafuta ambayo yako kwenye mkono wake kwenye ncha ya sikio la yule mtu wa kutakaswa, katika dole gumba lake la mkono wa kulia, na dole kubwa la mguu wa kulia, maeneo yale yale ambayo kaweka damu ya sadaka ya hatia.
[EZK 42:11] Zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
[ROM 2:1] Kwa hiyo hauna udhuru, wewe uhukumuye, kwa maana katika yale uhukumuyo mwingine wajitia hatiani mwenyewe. Kwa maana wewe uhukumuye unafanya mambo yale yale.
[1TH 2:14] Kwa hivyo ninyi, ndugu, muwe wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa kuwa ninyi pia mliteseka katika mambo yale yale kutoka kwa watu wenu, kama ilivyo kuwa kutoka kwa wayahudi.
yeye yeye (4)
[PSA 22:24] Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
[PSA 115:11] Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
[COL 2:10] Nanyi mmejazwa katika yeye. Yeye ni kichwa cha kila uweza na mamlaka.
[REV 14:7] Akawaita kwa sauti kuu, “Mwogopeni Mungu na mpeni utukufu. Kwa maana muda wa hukumu umekaribia. Mwabuduni yeye, yeye aliyeumba mbingu, na dunia, na bahari, na chemchemi za maji.”
abraham abraham (3)
[GEN 22:1] Ikawa kwamba baada ya mambo hayo Mungu akampima Abraham. Akamwambia, “Abraham!” Abraham akasema, “Mimi hapa.”
[GEN 22:11] Ndipo malaika wa Yahwe akamwita kutoka mbinguni na kusema, “Abraham, Abraham!” naye akasema, “Mimi hapa.”
[GEN 25:19] Na hivi ndivyo vizazi vya Isaka, mwana wa Abraham: Abraham alimzaa Isaka.
[PSA 40:15] Waogopeshwe kwa sababu ya aibu yao, wale waniambiao, “Aha, aha!”
[PSA 70:3] Warudishwe nyuma kwa sababu ya aibu yao, wale wasemao, “Aha, aha.”
amani amani (3)
[ISA 57:19] na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
[JER 6:14] Lakini wameponya vidonda vya watu wangu kwa juu juu tu. Wanasema, ‘Amani! Amani! Na kumbe amani haipo.
[JER 8:11] Kwa kuwa wametibu jeraha ya binti za watu wangu kwa juu juu. Walijisemea, “Amani, Amani,” na kumbe hapakuwa na amani.
elikana elikana (3)
[1CH 6:34] Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
[1CH 6:35] Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
[1CH 6:36] Amasai alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
hayo hayo (3)
[JDG 8:8] Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
[2KI 17:19] Hata watu wa Yuda hawakushika amri za BWANA Mungu wao, lakini badala yake walifuata mambo hayo hayo ya kipagani ambayo Israeli walifuata.
[MRK 12:5] Bado akamtuma mwingine, na huyu wakamwua. Waliwatendea wengine wengi mambo kama hayo hayo, wakiwapiga wengine na kuwaua wengine.
hema hema (3)
[2SA 7:6] Kwa maana sijawai kuishi katika nyumba tangu siku ile nilipowaleta wana wa Israeli kutoka Misri hata leo; badala yake nimekuwa nikitembea katika hema, hema la kukutania.
[1CH 6:32] Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
[1CH 17:5] Kwa kuwa sijaishi katika nyumba toka ile siku niliyo ileta Israeli hadi leo. Badala yake, nimeishi ndani ya hema, hema la kukusanyikia, sehemu mbalimbali.
hii hii (3)
[GEN 26:3] Kaa katika nchi hii hii niliyokuambia, nami nitakuwa pamoja nawe na kukubariki; kwani kwako wewe na uzao wako, nitawapa nchi hii yote, nami nitatimiza kiapo nilichomwapia Ibrahimu baba yako.
[2CH 13:18] Katika namna hii hii, watu wa Israeli wakatiishwa chini wakati huo, watu wa Yuda wakashinda kwa sababu walimtegemea Yahwe, Mungu wa baba zao.
[2CH 24:22] Katika namna hii hii, Yoashi, yule mfalme, akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria, alikuwa amemfanyia.
kidogo kidogo (3)
[GEN 8:3] Maji ya gharika yakaanza kuzama kidogo kidogo katika nchi na mwisho wa siku 150 maji yakawa yamezama chini.
[EXO 23:30] Badala yake, nitawafukuza kidogo kidogo kutoka kwenu mpaka utakapokuwa umestawi na kurithi nchi.
[DEU 7:22] Yahwe Mungu wenu atayaondoa mataifa mbele zenu kidogo kidogo. Hamtayashinda yote kwa wakati mmoja, au wanyama wa mwitu watakuwa wengi karibu nanyi.
kishi kishi (3)
[1CH 6:44] Upande wa mkono wa kushoto wa Hemani walikuwa wafanyi kazi wa wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
[1CH 8:33] Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
[1CH 9:39] Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
mtakatifu mtakatifu (3)
[ISA 6:3] Kila mmoja anaitana na mwenzake nakusema, “Mtakakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu. Ni Yahwe wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.”
[REV 4:8] Viumbe wenye uhai wanne kila mmoja alikuwa na mabawa sita, wamejaa macho juu na chini yake. Usiku na mchana hawakomi kusema, “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana Mungu, mtawala juu ya wote, aliyekuwepo, na aliyepo na atakayekuja.”
[REV 4:8] Viumbe wenye uhai wanne kila mmoja alikuwa na mabawa sita, wamejaa macho juu na chini yake. Usiku na mchana hawakomi kusema, “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana Mungu, mtawala juu ya wote, aliyekuwepo, na aliyepo na atakayekuja.”
musa musa (3)
[EXO 3:4] Yahweh alipoona ya kuwa amegeuka upande ili aone, Mungu alimwita kutoka katika kile kichaka na kusema, “Musa, Musa.” Musa akasema, “Mimi hapa.”
[EXO 3:4] Yahweh alipoona ya kuwa amegeuka upande ili aone, Mungu alimwita kutoka katika kile kichaka na kusema, “Musa, Musa.” Musa akasema, “Mimi hapa.”
[NUM 10:29] Musa alinena na Hobibu mwana wa Reueli wa kabila la Midiani. Reueli alikuwa baba mke wa Musa. Musa akanena na Hobibu akasema, “Tunasafiri kuelekea mahali ambapo BWANA ametuahidi. BWANA alisema kuwa, “Nitawapeni ninyi hilo eneo, ‘Njooni pamoja nasi na tutawatendea mema. BWANA ameahidi kuwafanyia mema Waisraeli.”
mwanao mwanao (3)
[GEN 22:2] Kisha Mungu akasema, “Mchukue mwanao, mwanao wa pekee, umpendaye, Isaka, na uende katika nchi ya Moria. Mtoe kama sadaka ya kuteketezwa mahali pale juu ya moja ya milima hiyo, ambayo nitakwambia.”
[GEN 22:12] Akasema, “Usinyooshe mkono wako juu ya kijana, wala usifanye jambo lolote kumdhuru, kwa kuwa sasa najua unamcha Mungu, kwa kuona kuwa hukumzuilia mwanao, mwanao wa pekee, kwa ajili yangu.”
[GEN 22:16] na kusema “Hiki ni kiapo cha Yahwe. Kwa ajili ya nafsi yangu nimeapa kwamba kwa kuwa umefanya jambo hili, na hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,
nani nani (3)
[2KI 18:20] Unaongea maneno yasiyo na maana, kusema lipo neno na nguvu ya vita. Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu?
[ISA 6:8] Nilisikia sauti ya Bwana ikisema, “Nimtume nani; nani ataenda kwa niaba yetu?” Ndipo nikasema, “Niko hapa; nitume mimi.”
[MAL 3:2]Nani nani atakeye vumilia siku ya kuja kwake? Ni nani atasimama akishatokea? Yeye ni kama mtu asafishaye kwa moto na kama sabuni ya kufulia.
nao nao (3)
[GEN 34:23] Je wanyama wao na vitu vyao - wanyama wao wote kuwa wetu? Haya na tukubaliane nao, nao wataishi kati yetu.”
[JDG 2:12] Wakaondoka kwa Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewatoa kutoka Misri. Wakaifuata miungu mingine, miungu ya watu waliokuwa karibu nao, nao wakaisujudia. Wakamkasirisha BWANA kwa sababu
[ZEC 10:5] Watakuwa kama mashujaa wawakanyagao adui zao katika matope ya mitaani vitani; watafanya vita, kwa maana Yahwe yu pamoja nao, nao watawaabisha wapanda farasi wa vita.
ndogo ndogo (3)
[NUM 26:54] Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
[NUM 33:54] Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabila la jamaa zenu.
[ACT 27:30] Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini mashua ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya mashua.
ninyi ninyi (3)
[EXO 5:17] Lakini Farao akasema, “Ninyi ni wavivu! Wavivu ninyi! Ninyi mwasema, ‘Turuhusu twende kumtolea Yahweh sadaka.’
[JOS 22:25] Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi. Ninyi watu wa Rubeni na watu wa Gadi, hamna kitu chochote na Yahweh.’ Na kwa hali hiyo, watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waache kumwabudu Yahweh.
[MAT 6:30] Ikiwa Mungu anayavalisha majani katika mashamba, ambayo yadumu siku moja na kesho yanatupwa katika moto, je ni kwa kiasi gani atawavalisha ninyi, ninyi wenye imani ndogo?
nyumba nyumba (3)
[JOS 7:14] Asubuhi, mtajisogeza wenyewe kwa makabila. Kabila lile ambalo Yahweh atalichagua litasogea karibu kwa koo zake. Ukoo ule ambao Yahweh atauchagua lazima usogee karibu na nyumba. Nyumba ambayo Yahweh ataichagua lazima isogee karibu na mtu mmoja mmoja.
[EZR 6:22] Walifurahi na kushangilia siku kuu ya mikate isiyochacha kwa siku saba, kwa sababu Yahwe amewarejeshea furaha na ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru, na kuwatia nguvu kwa kazi ya nyumba, nyumba ya Mungu wa Israel.
[JER 27:18] Kama ni manabii, na kama neno la Mungu limekuja kwao kweli, basi wamuombe Yahweh wa majeshi asivipeleke Babeli vyombo vilivyosalia katika nyumba, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu.
pole pole (3)
[GEN 33:14] Tafadhali bwana wangu na amtangulie mtumishi wake. Nitasafiri pole pole, kwa kadili ya mifugo iliyo mbele yangu, na kadili ya watoto, hata nitakapofika kwa bwana wangu huko Seiri.”
[DAN 8:3] Nilitazama juu na nikaona mbele yangu kondoo dume lenye mapembe mawili, limesimama pembeni mwa mfereji. Pembe moja lilikuwa refu kuliko jingine, lakini pembe ndefu ilikuwa inakua pole pole kuliko ile fupi na pembe fupi ilirefuka na kuizidi nyingine.
[2PE 3:9] Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi, kama inavyofikiriwa kuwa, Lakini yeye ni mvumilivu kwa ajili yenu, yeye hatamani hata mmoja aangamie, Lakini hutamani kutoa muda ili wote wapate kutubu.
sisi sisi (3)
[GEN 42:31] Tukamwambia, ‘Tu watu wa kweli sisi. Sisi siyo wapelelezi.
[DEU 5:3] Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
[MAT 20:12] Wakasema, ‘Hawa wafanyakazi wa mwisho wametumia saa moja tu katika kufanya kazi, lakini umewalinganisha na sisi, sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto.’
umeanguka umeanguka (3)
[ISA 21:9] Tazama gari linakuja na wakiwa wawili wawili. Anaita, “Babeli umeanguka, umeanguka, na sanamu za kuchonga za miungu yao zimevunjika chini.”
[REV 14:8] Malaika mwingine - malaika wa pili - akafuata akisema, “Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu, ambaye uliwanywesha mataifa divai ya ukahaba, divai ambayo ilileta ghadhabu juu yake.”
[REV 18:2] Alilia kwa sauti kuu, akisema, “Umeanguka, umeanguka, ule mji mkuu Babeli! Umekuwa sehemu yakaapo mapepo, na sehemu ikaapo kila roho chafu, na sehemu akaapo kila mchafu na ndege achukizaye.
upanga upanga (3)
[EZK 21:9] “Mwanadamu, tabiri na sema, ‘Bwana asema hivi: sema: Upanga! Upanga! Utachongwa na kusuguliwa!
[EZK 21:28] Basi wewe, mwanadamu, tabiri na sema, ‘Bwana Yahwe asema hivi hawa ni watu wa Amoni kuhusiana na ujio wa aibu yao: Upanga, upanga umefutwa! Umenolewa kwa ajili ya kuchinja, hivyo utakuwa kama kimuli muli cha radi!
[EZK 32:20] Wataanguka miongoni mwao waliokuwa wameuawa kwa upanga. Upanga ulikuwa umewekwa! Alikuwa amepatiwa upanga; watamkamata na watu wake.
vidogo vidogo (3)
[LEV 23:42] Mtaishi kwenye vibanda vidogo vidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogo vidogo kwa siku saba,
[LEV 23:42] Mtaishi kwenye vibanda vidogo vidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogo vidogo kwa siku saba,
[PSA 18:42] Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
watu watu (3)
[EXO 18:13] Siku iliyofuata Musa aliketi kuwahukumu watu. Watu walisimama kumzunguka Musa kwanzia asubuhi hadi jioni.
[NUM 21:6] Basi Mungu akatuma nyoka wa sumu kati yao. Wale nyoka wakawauma wale watu; watu wengi walikufa.
[EZK 36:12] Nitawaleta watu, watu wangu Israeli, kutembea juu yenu. Watakumiliki, na utakuwa urithi wao, na hutasababisha tena watoto wao kufa.
absalomu absalomu (2)
[2SA 17:6] Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
[2SA 19:4] Mfalme akafunika uso wake na kulia kwa sauti, “Mwanangu Absalomu, Absalomu, mwanangu, mwangangu!”
amina amina (2)
[NEH 8:6] Ezra akamshukuru Bwana, Mungu mkuu; na watu wote wakainua mikono yao, wakajibu, “Amina! Amina!” Wakainamisha vichwa vyao, wakamwabudu Bwana kwa nyuso zao zikiwa chini.
[PSA 72:19] Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
arba arba (2)
[JOS 14:15] Basi, jina la Hebroni hapo mwanzo lilikuwa ni Kiriathi Arba (Arba ambaye alikuwa ni mtu mkuu miongoni mwa Wanakim). Kisha nchi ikawa na raha bila vita.
[JOS 21:11] Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba (Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
ardhi ardhi (2)
[JER 22:29] Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
[JER 22:29] Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
bara bara (2)
[JER 31:9] Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maombi yao. Nitawafanya wasafiri katika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Efraimu atakuwa mzaliwa wangu wa kwanza
[JER 31:21] Jiwekee alama za bara bara kwa ajili yako mwenyewe. Weka matangazo ya maelekezo kwa ajili yako mwenyewe. Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata. Rudi, bikra Israeli! Rudi kwenye hii miji yako.
binea binea (2)
[1CH 8:37] Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
[1CH 9:43] Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
eloi eloi (2)
[MAT 27:46] Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu, “Eloi, Eloi, lama thabakithan?” akimaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
[MRK 15:34] Wakati wa saa tisa, Yesu alipiga kelele kwa sauti kubwa, “Eloi, Eloi, lama sabaktani?” ikiwa na maana “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
farasi farasi (2)
[ISA 21:7] Kama ataona gari, jozi ya farasi, farasi juu ya punda na farasi juu ya ngamia, hivyo basi anatakiwa kuwa makini na kuwa macho.”
[EZK 27:14] Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
hapana hapana (2)
[MAT 5:37] Bali maneno yenu yawe, ‘Ndiyo, ndiyo, hapana, hapana.’ Kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.
[2CO 1:17] Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je, ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
hilo hilo (2)
[EXO 7:11] Kisha naye Farao akawaita wazee wenye hekima na wachawi. Wakafanya jambo hilo hilo kwa uchawi wao.
[2PE 3:7] Lakini sasa mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
hizo hizo (2)
[NUM 9:14] Kama mtu mgeni anayeishi kati yenu na akaishika, Pasaka kwa heshima ya BWANA, ataishika na kufanya amri zote, na kutii taratibu zake. Utakuwa na sheria hizo hizo kwa wageni na kwa wote waliaozaliwa katika nchi.
[EST 9:27] Wayahudi wakapokea jukumu na desturi mpya. Desturi hii iwe kwa ajili yao, watoto wao, na kila ambaye aliyeungana nao. Na itakuwa kwamba maadhimisho haya watayafanya kwa kila mwaka. Wataadhimisha kwa namna fulani na nyakati hizo hizo kila mwaka.
kimbieni kimbieni (2)
[ZEC 2:6]Kimbieni! Kimbieni! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini - asema Yahwe - kwa maana nimewatawanya kama pepo nne za anga! - Asema Yahwe.
[ZEC 2:6] Kimbieni! Kimbieni! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini - asema Yahwe - kwa maana nimewatawanya kama pepo nne za anga! - Asema Yahwe.
kimya kimya (2)
[1SA 24:4] Watu wake Daudi wakamwambia, “Hii ndiyo siku ambayo BWANA aliisema akikuambia, ‘Nitamweka adui wako mkononi mwako, ili umtendee kama unavyotaka.”’ Kisha Daudi akainuka na kumnyemelea kwa mbele kimya kimya na kulikata pindo la kanzu ya Sauli.
[JOB 3:13] Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
kumbu kumbu (2)
[2CH 31:17] Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za baba zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamuzao.
[2CH 33:19] Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maombi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kabla ya kujinyenyekeshamwenyewe -- na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji.
lile lile (2)
[GEN 21:23] Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onyesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonyesha wewe.”
[ROM 9:21] Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
mafuta mafuta (2)
[LEV 3:9] Mtu akitoa sadaka ya dhabihu ya amani kama sadaka ya kusogezwa kwa moto kwa Bwana. Mafuta, mafuta ya mkia yatakatwa hapo karibu na mfupa wa kiuno, na mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yaliyo katika matumbo,
[LEV 8:25] Naye akayatwaa yale mafuta, mafuta ya mkia, mafuta iliyokuwa sehemu za ndani, na mafuta yafunikayo ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake na paja la kulia.
makundi makundi (2)
[MRK 6:39] Akawaamuru watu waketi katika makundi makundi, juu ya majani mabichi.
[MRK 6:40] Wakawaketisha katika makundi; makundi ya mamia kwa hamsini.
mikaeli mikaeli (2)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
[1CH 6:40] Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
moto moto (2)
[ISA 9:18] Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
[1CO 3:13] kazi yake itafunuliwa, kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha. Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya.
mwanangu mwanangu (2)
[2SA 18:33] Ndipo mfalme alipohuzunishwa sana, naye akaenda chumbani juu ya lango na kulia. Kadili alivyokwenda aliomboleza, “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! Afadhali ningekufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!”
[2SA 18:33] Ndipo mfalme alipohuzunishwa sana, naye akaenda chumbani juu ya lango na kulia. Kadili alivyokwenda aliomboleza, “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! Afadhali ningekufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!”
nami nami (2)
[2SA 19:33] Mfalme akamwambia Berzilai, njoo pamoja nami, nami nitakupa riziki ukae nami huko Yerusalemu.”
[2SA 19:38] Mfalme akajibu, “Kimhamu atakwenda pamoja nami, nami nitamtendea kila lionekanalo jema kwako, na lolote unalotamani kutoka kwangu nitakutendea.”
nawe nawe (2)
[JDG 6:16] Bwana akamwambia, “Nitakuwa pamoja nawe, nawe utalishinda jeshi lote la Midiani kama mtu mmoja.”
[EZK 16:62] Mimi nitaweka imara agano langou pamoja nawe, nawe utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
nchi nchi (2)
[JOS 10:40] Yoshua aliishinda nchi yote, nchi ya milima, Negevu, nchi, nchi ya tambarare na nchi ya miteremko. Hakuna hata mfalme moja aliyebaki hai kati ya wafalme wake wote. Kwa kweli aliteketeza kila kiumbe hai, kama ambavyo Yahweh, Mungu wa Israeli alivyomwaagiza.
[DAN 11:42] Naye ataunyoosha mkono katika nchi; nchi ya Misri haitaokolewa.
ndiyo ndiyo (2)
[MAT 5:37] Bali maneno yenu yawe, ‘Ndiyo, ndiyo, hapana, hapana.’ Kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.
[2CO 1:17] Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je, ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
ni ni (2)
[GAL 5:14] Kwa kuwa sheria yote imekamilika katika amri moja; nayo ni “Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”
[PHP 3:18] Wengi wanaoishi ni ni wale ambao mara nyingi nimewaambieni, na sasa nawaambia kwa machozi wengi wanaishi kama maadui wa msalaba wa Kristo.
sadaka sadaka (2)
[2CH 7:7] Sulemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
[EZK 44:29] Watakula chakula cha sadaka, sadaka za dhambi, sadaka za hatia, na kila kitakachotolewa kwa ajili ya Yahwe katika Israeli, vitakuwa vyao.
samweli samweli (2)
[1SA 3:6] BWANA akamwita tena, “Samweli.” Samweli aliamka tena na kwenda kwa Eli na kusema, “Niko hapa, sababu umeniita.” Eli akajibu, “Sijakuita, mwanangu; kalale tu tena.”
[1SA 3:10] BWANA alikuja na kusimama; akaita vilevile kama vile mwanzoni, “Samweli, Samweli.” Ndipo Samweli akasema, “Nena, kwa sababu mtumwa wako anasikiliza.”
tanga tanga (2)
[EXO 6:4] Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
[PSA 119:21] Wewe huwakemea wenye kiburi, waliolaaniwa, wanao tanga-tanga mbali na amri zako.
viwili viwili (2)
[GEN 6:20] Katika ndege kwa jinsi yake, na wanyama wakubwa kwa jinsi yake, kila kitambaacho ardhini kwa jinsi yake, viwili viwili vya kila aina vitakuja kwako ili viwe salama.
[GEN 7:15]Viwili viwili katika kila chenye mwili ambacho kilikuwa na pumzi ya uhai kilikuja kwa Nuhu na kuingia katika safina.
wanafunzi wanafunzi (2)
[MAT 14:19] Kisha Yesu akauamuru umati kukaa chini kwenye nyasi. Akachukuwa mikate mitano na samaki wawili. Akatazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate akawapa wanafunzi. Wanafunzi wakaupatia umati.
[MAT 15:36] Aliitwaa ile mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi. Wanafunzi wakawapa umati.
wote wote (2)
[PSA 21:8] Mkono wako utawakamata adui zangu wote wote; mkono wako wa kuume utawakamata wale wote wanao kuchukia.
[MIC 7:2] Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
yako yako (2)
[PSA 71:16] Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
[PSA 76:2] Hema yake iko Yerusalemu; makao yake yako yako Sayuni.
yakobo yakobo (2)
[GEN 28:5] Hivyo Isaka akamwondoa Yakobo. Yakobo akaenda Padani Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, kaka wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
[GEN 46:2] Mungu akamwambia Israeli katika ndoto usiku, akisema, “Yakobo, Yakobo.”
yerusalemu yerusalemu (2)
[MAT 23:37]Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! Mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini haukukubali!
[LUK 13:34]Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
yoeli yoeli (2)
[1CH 6:33] Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
[1CH 6:36] Amasai alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
zimri zimri (2)
[1CH 8:36] Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
[1CH 9:42] Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
abdi abdi (1)
[1CH 6:44] Upande wa mkono wa kushoto wa Hemani walikuwa wafanyi kazi wa wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
abiudi abiudi (1)
[MAT 1:13] Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
abiya abiya (1)
[MAT 1:7] Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
ahazi ahazi (1)
[MAT 1:9] Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
aibu aibu (1)
[JER 3:25] Na tulale chini kwa aibu. Aibu yetu na itufunike, kwa kuwa tumefanya dhambi dhidi ya BWANA, Mungu wetu! Sisi wenyewe na mababu zetu, kutoka wakati wa ujana wetu hadi leo, hatujaisikiliza sauti ya BWANA, Mungu wetu!”
alikuwa alikuwa (1)
[1CH 6:21] Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
alipotoka alipotoka (1)
[EXO 34:34] Wakati Musa alipoenda mbele za Yahweh kusema naye, aliondoa kitambaa, hadi alipotoka. Alipotoka, aliwaambia Waisraeli alichoamriwa kusema.
aliwaumba aliwaumba (1)
[DEU 32:6] Je! Unamzawadia Yahwe kwa njia hii, enyi watu wapumbavu na msiojitambua? Je! Yeye si baba yenu, yule ambaye aliwaumba? Aliwaumba na kuwaimarisha.
amasai amasai (1)
[1CH 6:35] Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
amazia amazia (1)
[1CH 6:45] Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
ameangamizwa ameangamizwa (1)
[HOS 5:11] Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
amesikia amesikia (1)
[PSA 66:19] Lakini Mungu hakika amesikia; amesikia sauti ya kuomba kwangu.
aminadabu aminadabu (1)
[MAT 1:4] Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
amri amri (1)
[ISA 28:13] Hivyo basi neno la Yahwe litakuwa kwao amri juu ya amri, amri juu ya amri, utawala juu ya utawala; na kidogo hapa na kidogo pale, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, kutegwa, na kukamatwa.
amzi amzi (1)
[1CH 6:46] Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
andrea andrea (1)
[JHN 12:22] Filipo akaenda akamwambia Andrea; Andrea na Filipo wakaenda na kumwambia Yesu.
arieli arieli (1)
[ISA 29:1] Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! Mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
asali asali (1)
[SNG 4:11] Midomo yako, bibi harusi wangu, yatiririka asali; asali na maziwa viko chini ya ulimi wako; harufu ya mavazi yako ni kama marashi ya Lebanoni.
asiri asiri (1)
[1CH 6:37] Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
asubuhi asubuhi (1)
[EZK 24:18] Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
au au (1)
[EZK 18:17] Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
azaria azaria (1)
[1CH 6:36] Amasai alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
baaseia baaseia (1)
[1CH 6:40] Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
bahari bahari (1)
[PSA 106:7] Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
bani bani (1)
[1CH 6:46] Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
beredi beredi (1)
[1CH 7:20] Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
berekia berekia (1)
[1CH 6:39] Mfanyakazi mwenzake Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
[ISA 6:1] Nyakati zile za kifo cha mfalme Uzzia, nilimuona Bwana akiketi katika kiti cha cha enzi; alikuw juu na mahali palipo inuka, na pindo la vazi lake limejaa hekaluni.
chemi chemi (1)
[2CH 32:30] Alikuwa ni Hezekia ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliyeileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
chombo chombo (1)
[LEV 11:32] Na iwapo mmoja wao anakufa na kuanguka juu ya chombo, chombo hicho kitakuwa najisi, ama kiwe kimetengenezwa kwa mbao, nguo, ngozi, au gunia. Kiwe chombo cha namna gani na kiwe kwa matumizi gani, ni lazima kitalowekwa katika maji nacho kitakuwa najisi hata jioni. Kisha kitakuwa safi.
damu damu (1)
[EZK 35:6] Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufuatilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
danieli danieli (1)
[DAN 6:20] Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?
debiri debiri (1)
[JOS 15:15] Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
dhahabu dhahabu (1)
[2CH 4:21] na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
ebiasa ebiasa (1)
[1CH 6:37] Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
eleada eleada (1)
[1CH 7:21] Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
eleasa eleasa (1)
[1CH 8:37] Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
eliashibu eliashibu (1)
[NEH 12:10] Yoshua alikuwa babaye Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa babaye Yoyada,
elieli elieli (1)
[1CH 6:34] Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
elieza elieza (1)
[MAT 1:15] Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
ethani ethani (1)
[1CH 6:42] Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
ethini ethini (1)
[1CH 6:41] Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
faraja faraja (1)
[ISA 40:1] “Faraja, faraja watu wangu,” amesema Mungu.
fimbo fimbo (1)
[NUM 17:6] Kwa hivyo Musa akawaambia wana wa Israeli. Viongozi wote wa kabila wakampatia fimbo, fimbo moja kutoka kwa kila kiongozi, aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila ya babu zao, jumla yake fimbo kumi na mbili. Fimbo ya Haruni ilikuwa miongoni mwa fimbo hizo.
fitina fitina (1)
[2CH 23:13] Na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
furaha furaha (1)
[ECC 8:15] Kwa hiyo nikapendekeza furaha, kwa sababu mtu hana jambo bora chini ya jua zaidi ya kula na kunywa na kuwa na furaha. Furaha ndiyo itamfuata katika kazi zake kwa siku zote za maisha yake ambayo Mungu amempa chini ya jua.
gani gani (1)
[PSA 119:84] Ni kwa muda gani gani mtumishi wako atalazimika kuyavumilia haya; ni lini utawahukumu wale wanaonitesa?
gedalia gedalia (1)
[2KI 25:25] Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
gerishomu gerishomu (1)
[1CH 6:43] Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Lawi.
geuka geuka (1)
[GEN 3:24] Kwa hiyo, Mungu akamfukuza mtu huyu nje ya bustani, na akaweka kerubi mashariki mwa bustani ya Edeni, na upanga wa moto ulio geuka geuka kila upande, ili kulinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.
gideoni gideoni (1)
[JDG 6:34] Lakini Roho wa Bwana akaja juu ya Gideoni. Gideoni akapiga tarumbeta, akawaita jamaa ya Abiezeri, ili wapate kumfuata.
gileadi gileadi (1)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
haki haki (1)
[ROM 9:30] Tutasema nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
hamsini hamsini (1)
[1KI 18:4] kwa kuwa wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA, Obadia alichukua manabii mia akawaficha katika makundi ya hamsini hamsini katika pango na akawalisha kwa mikate na maji.
hapa hapa (1)
[JOS 9:22] Yoshua aliwaita na kuwaambia, “Kwa nini mlitudanya wakati mliposema, “Tuko mbali sana nanyi’ wakati mnaishi hapa hapa miongoni mwetu?
hashabia hashabia (1)
[1CH 6:45] Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
hawa hawa (1)
[EZK 14:16] kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
hili hili (1)
[AMO 7:6] Yahwe akagairi kuhusiana na hili, “Hili halitajitokeza pia,” asema Bwana Yahwe.
hivi hivi (1)
[EZK 21:7] Kisha itatokea kwamba watakuuliza, ‘Kwa sababu gani unalia?’ Kisha utasema, ‘Kwa sababu ya habari inayokuja, kwa kuwa kila moyo utakuwa dhaifu, na kila mkono utasita! Kila roho itazimia, na kila goti litatiririrka kama maji. Tazama! Inakuja na itakuwa kama hivi! -Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”’
huri huri (1)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
huruma huruma (1)
[JAS 2:13] Kwa kuwa hukumu huja pasipo huruma kwa wale wasio na huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.
huu huu (1)
[MRK 14:30] Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, leo-naam, usiku huu huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”
ibomoeni ibomoeni (1)
[PSA 137:7] Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
imefichika imefichika (1)
[2CO 4:3] Lakini kama injili yetu imefichika, imefichika kwa wale tu wanaoangamia.
inazunguka inazunguka (1)
[JER 23:19] Tazama, kuna dhoruba inayotoka kwa Bwana! Hasira yake inatoka, na dhoruba inazunguka. Inazunguka vichwa vya waovu.
[1CH 6:38] Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Lawi. Lawi alikuwa mwana wa Israeli.
jani jani (1)
[1PE 1:24] Kwa maana, “miili yote ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la jani. Jani hunyauka, na ua hudondoka,
jara jara (1)
[1CH 9:42] Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
jenga jenga (1)
[ISA 57:14] Atasema, ‘Jenga, jenga! Safisha njia! Ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!”
kabisa kabisa (1)
[LEV 23:22] Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahwe Mungu wenu.”
karibu karibu (1)
[ZEP 1:14] Siku kubwa ya Yahwe i karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
kichwani kichwani (1)
[ISA 7:20] Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate- mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
kifo kifo (1)
[PHP 2:8] Yeye alijinyenyekeza na kuwa mtii hadi kifo, kifo cha msalaba.
kikombe kikombe (1)
[ISA 51:17] Amka, amka, simama juu, Yerusalemu, ewe unyweae katika kikombe cha hasira ya Yahwe kutoka mkononi mwako; umekunywa katika kikombe, kikombe cha mateso, na umekunywa na kumaliza.
kohathi kohathi (1)
[1CH 6:38] Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Lawi. Lawi alikuwa mwana wa Israeli.
kubwa kubwa (1)
[NUM 33:54] Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabila la jamaa zenu.
kula kula (1)
[EZK 3:1] Akaniambia, “Mwanadamu, kile ulichokipata, kula. Kula hili gombo, kisha nenda kaongee na wana wa Israeli.”
kusikia kusikia (1)
[LUK 10:24] Ninawaambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
kusini kusini (1)
[EZK 47:19] Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
kwenda kwenda (1)
[AMO 4:8] Basi miji miwili mitatu ikatangatanga kwenda kwenda mji mwingine ili kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hamkunirudia mimi -asema Yahwe.
labani labani (1)
[GEN 24:29] Na sasa Rebeka alikuwa na kaka yake, jina lake aliitwa Labani. Labani akakimbia kwa yule mtu aliye kuwa nje barabarani karibu na kisima.
lango lango (1)
[EZK 40:25] Kulikuwa na madirisha yaliyofungwa katika lango la njia na tawa lake kama lile lango. Lango la kusini na tawa lake vilipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
lawi lawi (1)
[1CH 6:38] Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Lawi. Lawi alikuwa mwana wa Israeli.
leo leo (1)
[NEH 5:11] Warudishieni leo leo mashamba yao, mizabibu yao, mashamba yao ya mizeituni, na nyumba zao na asilimia ya fedha, nafaka, divai mpya, na mafuta mliyowatoza.”
maana maana (1)
[ISA 1:13] Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato-Mimi siwezi vumlia mikusanyiko hii ya waovu.
maarifa maarifa (1)
[1CO 8:1] Sasa kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu: tunajua ya kwamba sisi sote tuna maarifa. Maarifa huleta majivuno, bali upendo hujenga.
maaskari maaskari (1)
[MIC 5:1] Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
machipukizi machipukizi (1)
[NUM 17:8] Siku iliyofuata Musa aliingia kwenye hema ya amri ya agano, na tazama, fimbo ya Haruni kwa ajili ya Kabila la Lawi ilikuwa imetoa machipukizi. Machipukizi yalikuwa hadi kuchanua maua na kuzaa malozi mabivu!
madhabahu madhabahu (1)
[1KI 13:2] Akalia kinyume na zile madhabahu kwa neno la BWANA: “Ee madhabahu, madhabahu, hivi ndivyo asemavyo BWANA, ‘Tazama, mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika familia ya Daudi, na juu yenu atawachinja makuhani ambao sasa wanafukiza uvumba mahali hapa pa juu kwa ajili yako. Juu yako watachoma mifupa ya watu.’”
madogo madogo (1)
[NUM 35:8] Zile kabila kubwa za watu wa Israeli, kabila ambalo lina ardhi zaidi, watatoa ardhi zaidi. Makabila madogo madogo watatoa miji michache. Kila kabila lazima watoe kwa ajili ya Walawi kwa kufuata mgawo waliopata.”
mahathi mahathi (1)
[1CH 6:35] Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
mahili mahili (1)
[1CH 6:47] Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Lawi.
maisha maisha (1)
[ISA 38:16] Bwana, mateso uliyoyatuma ni mazuri kwangu; ikiwezekana nirudishiwe tena maisha yangu; umeyahifadhi maisha maisha yangu na afya yangu.
maji maji (1)
[ISA 8:7] Hivyo basi Bwana anakairbia kuwaletea maji maji ya mto, yenye nguvu na mengi, mfalme Asiria na utukufu wake utakuja juu na kupita juu ya mifereji yake atafurika juu ya kingo zote.
manase manase (1)
[MAT 1:10] Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
maneno maneno (1)
[1TI 6:4] Mtu huyo anajivuna na hajui chochote. Badala yake, ana vurugu na mabishano juu ya maneno. Maneno haya huzaa wivu, ugomvi, matukano, shuku mbaya,
martha martha (1)
[LUK 10:41] Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
mataifa mataifa (1)
[ROM 15:12] Tena Isaya asema, “Kutakuwa na shina la Yese, na mmoja atakayeinuka kutawala juu ya mataifa. Mataifa watakuwa na tumaini katika yeye.”
matita matita (1)
[MAT 13:30] Yaacheni yakue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitasema kwa wavunaji, ‘Kwanza yang'oeni magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu.’”
mbaya mbaya (1)
[PRO 20:14] “Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
mboga mboga (1)
[2KI 4:39] Mmoja wao akaenda kwenye shamba kukusanya mboga mboga. Alikuta matango ya porini na kukusanya ya kutosha hadi alipojaza kwenye nguo yake. Walizikata na kuziweka kwenye sufuria, lakini hakujua zilikuwa za aina gani.
mchana mchana (1)
[JOB 17:12] Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
mchawi mchawi (1)
[DEU 18:10] Pasipatikane miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
[1KI 7:3] Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihimili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
miiba miiba (1)
[MRK 4:7] Mbegu ziingine zilianguka katikati ya miiba. Miiba ilikua na ikazisonga, na hazikuzaa matunda yoyote.
mkoa mkoa (1)
[1CH 22:18] “Yahweh Mungu wenu yupo nanyi na amewapa amani kila pande. Amewakabidhi mikononi mwangu wenyeji wote mkoa. Mkoa umetiishwa mbele za Yahweh na watu wake.
mkubwa mkubwa (1)
[DAN 8:11] Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama kamanda wa jeshi la kimungu. Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye, na sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi.
mlima mlima (1)
[DEU 4:11] Mlikuja karibu na kusimama katika wayo wa mlima. Mlima uliwaka moto kwenye moyo wa mbinguni, pamoja na giza, mawingu na giza jembamba.
moja moja (1)
[1KI 10:17] Pia alitengeneza ngao 300 za dhahabu iliyofuliwa. Mane tatu za dhahabu ziliambatana pamoja na ngao moja moja; mfalme aliviweka katika ikulu ya mwitu ya Lebanoni.
moshi moshi (1)
[EXO 19:18] Mlima Sinai ulijwa kabisa na moshi kwa sababu Yahweh alishuka na moto na moshi. Moshi ulipanda juu kama moshi wa tanuru, na mlima wote ulitikisika kwa vurugu.
moyo moyo (1)
[JER 4:19] Moyo wangu! Moyo wangu! Niko katika maumivu ya moyo. Moyo wangu umefadhaika ndani yangu. Siwezi kunyamaza kwa kuwa nasikia sauti za pembe, sauti za vita.
mpaka mpaka (1)
[JDG 7:22] Walipopiga tarumbeta 300, Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake na dhidi ya jeshi lake lote. Jeshi likakimbia mpaka Bethshita kuelekea Serera, mpaka, mpaka wa Abel Mehola, karibu na Tabathi.
msiba msiba (1)
[EZK 7:5] Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
msulibishe msulibishe (1)
[LUK 23:21] Lakini wao wakapiga kelele, wakisema, “Msulibishe, msulibishe.”
msulubishe msulubishe (1)
[JHN 19:6] Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
mtafanya mtafanya (1)
[DEU 20:18] Fanya hivi ili kwamba wasiwafundishe kufanya katika njia za machukizo, kama walivyofanya kwa miungu yao. Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu.
mushi mushi (1)
[1CH 6:47] Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Lawi.
mwisho mwisho (1)
[EZK 7:2] Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.” ‘Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
mwondoshe mwondoshe (1)
[JHN 19:15] Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
mwovu mwovu (1)
[EZK 33:8] Kama nikimwambia mtu mwovu, ‘Mwovu, hakika utakufa!’ lakini kama hutangazi hivi ili kwa ajili ya kumuonya mtu mwovu kuhusu hii njia, kisha huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako!
najisi najisi (1)
[LEV 13:45] Mtu aliye na ugojwa wa kuambukiza atavaa nguo zilizochanika, ni lazima nywele zake ziachwe wazi, na yampasa kufunika uso wake mpaka puani na kupiga kelele, ‘Najisi, najisi.’
[GEN 24:32] Kwa hiyo yule mtu akaingia ndani ya nyumba na akashusha mizigo kutoka kwa wale ngamia. Ngamia wakapatiwa malisho na chakula, na maji yakatolewa kuosha miguu yake pamoja na miguu ya wale watu aliokuwa pamoja nao.
ningesema ningesema (1)
[PSA 73:15] Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe ningekisaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
niwaue niwaue (1)
[2KI 6:21] Yule mfalme wa Israeli akamwambia Elisha, wakati alipowaona, “Baba yangu, niwaue? Niwaue?”
nuhu nuhu (1)
[GEN 6:9] Kulikuwa na matukio kumhusu Nuhu. Nuhu alikuwa mtu mwenye haki, na asiye na lawama miongoni mwa watu wa kipindi chake. Nuhu alitembea na Mungu.
ondokeni ondokeni (1)
[ISA 52:11]Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
orinani orinani (1)
[1CH 21:21] Wakati Daudi alipo kuja kwa Orinani, Orinani akatazama na kumuona Daudi. Aliacha eneo la kupeta na akamuinamia Daudi uso wake ukiwa kwenye ardhi.
paneli paneli (1)
[EZK 41:24] Hii milango ilikuwa na bawaba mbili kila mlango paneli, paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine.
peku peku (1)
[MIC 1:8] Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbweha na kuomboleza kama bundi.
pembe pembe (1)
[EZK 27:15] Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
penina penina (1)
[1SA 1:2] Mtu huyo alioa wanawake wawili, jina la mke wa kwanza aliitwa Hana, na yule wa pili aliitwa Penina, Penina alizaa watoto, lakini Hana hakuzaa.
peresi peresi (1)
[RUT 4:18] Hiki kilikuwa ni kizazi cha Peresi: Peresi alimzaa Hesroni,
pitieni pitieni (1)
[ISA 62:10] Njooni pitieni, pitieni katika lango! Tengenezeni mapito ya watu! Itengenezeni, Tengeneza njia kuu! Kusanyeni mawe! Nyanyueni juu ishara ya bendera kwa mataifa!
potifa potifa (1)
[GEN 39:4] Yusufu akapata kibali mbele zake. Akamtumikia Potifa. Potifa akamfanya msimamizi juu ya nyumba yake, na kila alichokimiliki, akakiweka chini ya uangalizi wake.
rafa rafa (1)
[1CH 8:37] Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
[1CH 9:43] Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
rehoboamu rehoboamu (1)
[MAT 1:7] Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
riba riba (1)
[DEU 23:19] Hutakiwi kumkopesha Muisraeli mwenzako kwa riba – riba ya fedha, riba ya chakula, au riba ya kitu chochote kinachokopeshwa kwa riba.
shatieli shatieli (1)
[MAT 1:12] Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
shemu shemu (1)
[GEN 11:10] Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu. Shemu alikuwa na umri wa 100, na akamzaa Alfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
shutela shutela (1)
[1CH 7:20] Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
sikukuu sikukuu (1)
[EZK 45:21] Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula mkate usiotiwa chachu.
simama simama (1)
[NAM 2:8] Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, huku watu wake wakikimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
simoni simoni (1)
[LUK 22:31]Simoni, Simoni, fahamu kwamba, Shetani ameomba awapate ili awapepete kama ngano.
tahathi tahathi (1)
[1CH 6:37] Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
tera tera (1)
[GEN 11:27] Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Tera. Tera aliwazaa Abram, Nahori, na Harani, na Harani akamzaa Lutu.
tini tini (1)
[JER 24:3] Bwana akaniambia, “Unaona nini Yeremia?” Nikasema, “Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa.”
tubu tubu (1)
[EZK 33:11] Waambie, ‘Kama niishivyo-asema Bwana Yahwe-sifurahii kifo cha mwovu, kwa kuwa kama mwovu akitubu kutoka njia yake, kisha ataishi! Tubu! Tubu kutoka njia zako mbaya! Kwa nini mnataka kufa, nyumba ya Israeli?’
tunaishi tunaishi (1)
[ROM 14:8] Kwa kuwa ikiwa tunaishi, tunaishi kwa ajili ya Bwana. Na ikiwa tunakufa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi ikiwa tunaishi au tunakufa tu mali ya Bwana.
tunakufa tunakufa (1)
[ROM 14:8] Kwa kuwa ikiwa tunaishi, tunaishi kwa ajili ya Bwana. Na ikiwa tunakufa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi ikiwa tunaishi au tunakufa tu mali ya Bwana.
tupu tupu (1)
[NAM 2:10] Ninawi ipo tupu; tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa viuno vya kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
tutakimbia tutakimbia (1)
[ISA 30:16] Amesema, ‘Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojiingiza watakuwa wepesi.
uhaini uhaini (1)
[2KI 11:14] Akatazama, na, kisha, yule mfalme alikuwa amesimama kwenye nguzo, kama ilivyokuwa desturi, na wakuu na wapiga baragumu walikuwa karibu na mfalme. Watu wote wa nchi hiyo walikuwa wakifurahi na kupiga matarumbeta. Kisha Athalia akachana mavazi yake kwa hasira na kupiga kelele, “Uhaini! Uhaini!”
uharibifu uharibifu (1)
[EZK 21:27]Uharibifu! Uharibifu! Nitaiharibu! Haitakuwa tena hadi atakapokuja yeye ambaye ameteuliwa kutekeleza hukumu.
ulimwengu ulimwengu (1)
[JHN 15:19] Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda kama wa kwao. Lakini kwa sababau ninyi sio wa ulimwengu na kwa sababu niliwachagua kutoka katika ulimwengu, ni kwa ajili hii ulimwengu huwachukia.
umeondolewa umeondolewa (1)
[2SA 1:19] “Utukufu wako, Israel, umeondolewa, umeondolewa juu ya mahali pako pa juu! Jinsi mwenye nguvu alivyoanguka!
unahekima unahekima (1)
[PRO 9:12] Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
uniokoe uniokoe (1)
[PSA 6:4] Rudi, Yahwe! Uniokoe. Uniokoe kwa sababu ya uaminifu wa agano lako!
urefu urefu (1)
[REV 21:16] Mji ulijengwa mraba; urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Alipima mji kwa kipimio cha fimbo, stadia 12,000 kwa urefu (urefu wake, upana, na kimo vilifanana).
urithi urithi (1)
[PSA 135:12] Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
utusi utusi (1)
[PRO 7:9] Ilikuwa katika utusi utusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
vikundi vikundi (1)
[2CH 15:6] Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shida za kila aina ya mateso.
vingi vingi (1)
[LUK 12:48] Lakini mtumishi asiyejua mapenzi ya bwana wake, lakini akafanya yanayostahili adhabu, atapigwa viboko vichache. Kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake, na yeye aliyeaminiwa kwa vingi, kwake vitadaiwa vingi zaidi.
vita vita (1)
[NEH 9:6] Wewe ni Bwana. Wewe peke yako. Wewe umefanya mbinguni, mbingu za juu, na malaika wote wa vita vita, na dunia na kila kitu kilicho juu yake, na bahari na vyote vilivyomo. Unawapa wote uzima, na majeshi ya malaika wanakusujudia.
vitu vitu (1)
[1CH 29:2] Hivyo nimefanya kwa ubora wangu kutoa kwa ajili ya hekalu la Mungu. Nina toa dhahabu kwa vitu vitakavyotengenezwa na dhahabu, fedha kwa vitu vitu vitakavyotengenezwa na fedha, shaba kwa vitu vitakavyotengenezwa na shaba, nishati kwa vitu vitakavyotengenezwa na nishati, na mbao kwa vitu vitakavyotengenezwa na mbao. Pia nina toa mawe ya shohamu, mawe ya kupangwa, mawe ya upambaji wandani ya rangi mbali mbali - kila haina ya mawe ya thamani - na marimari kwa wingi.
wafilisti wafilisti (1)
[1SA 14:11] Kwa hiyo wote wawili wakajidhihirisha mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Waebrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
waisraeli waisraeli (1)
[1SA 31:1] Basi Wafilisti wakapigana dhidi ya Waisraeli. Waisraeli wakakimbia mbele ya Wafilisti na wakaanguka chini wakafa katika mlima wa Gilboa.
wakamcha wakamcha (1)
[2KI 17:41] Hivyo haya mataifa wakamcha wakamcha BWANA na pia wakaabudu sanamu zao za kuchonga, na watoto wao wakafanya hivyo na watoto wao, Wakaendelea kufanya yale ambayo baba zao waliyoyafanya, hata leo.
wale wale (1)
[EXO 6:27] Haruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Haruni wale wale.
wanakimbia wanakimbia (1)
[PSA 68:12] Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
wanakufa wanakufa (1)
[JOB 4:21] Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
wanaweza wanaweza (1)
[ACT 25:5] Alisema “Kwa hiyo, wale ambao wanaweza, wanaweza kwenda huko na sisi. Kama kuna kitu kibaya kwa mtu huyu, mnapaswa kumshtaki.”
wangu wangu (1)
[SNG 6:9] Hua wangu, wangu asiye na dosari, ni yeye pekee; ni binti pekee wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wanawake-malikia na masuria walimuona pia, na wakamsifia: Kile walicho sema wanawake-malikia na masuria
wasi wasi (1)
[PHP 2:28] Kwa hiyo ninamrejesha kwenu haraka iwezekanavyo, Ili kwamba mtakapomwona tena mpate kufurahi na mimi nitakuwa nimeondolewa wasi wasi.
wavivu wavivu (1)
[EXO 5:17] Lakini Farao akasema, “Ninyi ni wavivu! Wavivu ninyi! Ninyi mwasema, ‘Turuhusu twende kumtolea Yahweh sadaka.’
yado yado (1)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
yahathi yahathi (1)
[1CH 6:43] Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Lawi.
yaroa yaroa (1)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
yehoada yehoada (1)
[1CH 8:36] Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
yehoshafati yehoshafati (1)
[MAT 1:8] Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
yerohamu yerohamu (1)
[1CH 6:34] Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
yeshishai yeshishai (1)
[1CH 5:14] Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana wa Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
yesu yesu (1)
[JHN 1:42] Akamleta kwa Yesu. Yesu akamtazama na akasema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana, utaitwa Kefa,” (maana yake ‘Petro’).
yezebeli yezebeli (1)
[2KI 9:30] Wakati Yehu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
yoabu yoabu (1)
[2SA 20:10] Amasa hakutambua kwamba kulikuwa na jambia katika mkono wa kushoto wa Yoabu. Yoabu akamchoma Amasa tumboni na matumbo yake yakamwagika chini. Wala Yoabu hakumpiga tena, na Amasa akafa. Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
[JOS 15:13] Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. Miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
yothamu yothamu (1)
[MAT 1:9] Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
yoyakimu yoyakimu (1)
[NEH 12:10] Yoshua alikuwa babaye Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa babaye Yoyada,
yuda yuda (1)
[ISA 11:13] Ataugeuza wivu wa Efraimu, na ukatili wa Yuda utakomeshwa. Efraimu atamuonea wivu Yuda, Yuda hatakuwa adui wa Efraimu tena.
yusufu yusufu (1)
[GEN 47:17] Hivyo wakaleta wanyama wao kwa Yusufu. Yusufu akawapa chakula kwa kubadilishana na farasi, kondoo, mbuzi na kwa punda. Akawalisha kwa mkate kwa kubadilisha na wanyama wao mwaka ule.
za za (1)
[ECC 12:1] Pia mkumbuke Muumba wako katika siku za za ujana, kabla ya siku za ugumu hazijaja, na kabla ya miaka haijafika utakapo sema, “Mimi sina furaha katika hizo,”
zadoki zadoki (1)
[MAT 1:14] Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
zenu zenu (1)
[EZK 36:25] Kisha nitanyunyiza maji masafi juu yenu ili muwe wasafi kutoka kwenye uchafu wote, na nitawasafisha kutoka sanamu zenu zenu.
zera zera (1)
[1CH 6:41] Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
zile zile (1)
[2CO 12:18] Nilimsihi Tito kuja kwenu, na nilituma ndugu mwingine pamoja naye. Je, Tito aliwafanyia faida ninyi? Je, hatukutembea katika njia ile ile? Je, hatukutembea katika nyayo zile zile?
zima zima (1)
[1CH 6:42] Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
zufi zufi (1)
[1CH 6:35] Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.